Tawire New Member Apr 21, 2022 3 4 Oct 12, 2023 #1 Kama kuna Mtanzania anayefanya kazi Canada, tafadhali naomba tuwasiliane, kuna moja na mbili za huko naomba kufahamishwa.
Kama kuna Mtanzania anayefanya kazi Canada, tafadhali naomba tuwasiliane, kuna moja na mbili za huko naomba kufahamishwa.
K Kimwakaleli JF-Expert Member Apr 16, 2018 3,897 5,354 Oct 13, 2023 #2 Tawire said: Kama kuna Mtanzania anayefanya kazi Canada, tafadhali naomba tuwasiliane, kuna moja na mbili za huko naomba kufahamishwa. Click to expand... Wako wengi tuu mkuu!
Tawire said: Kama kuna Mtanzania anayefanya kazi Canada, tafadhali naomba tuwasiliane, kuna moja na mbili za huko naomba kufahamishwa. Click to expand... Wako wengi tuu mkuu!
ndege JOHN JF-Expert Member Aug 5, 2015 19,572 44,802 Oct 13, 2023 #4 Weka hoja yako ujibiwe me nipo Canada pia ila kwenye ndoto
endesha JF-Expert Member Dec 9, 2015 1,109 1,452 Oct 13, 2023 #5 Wakikujia unitag...Maana mwenyewe Nina shauku ya kufika huko kutafuta maokoto..Bongo nyoso
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Mar 25, 2014 9,679 12,246 Oct 13, 2023 #6 Wabongo Wana roho mbaya sana...wazee wa fursa ni wakenya tu
Muju4 JF-Expert Member Oct 27, 2014 5,322 7,161 Oct 13, 2023 #7 Mimi yupo mtu Canada ni rafiki yangu na hayupo humu nipe swali lako nitakurudishia majibu baada ya kumuuliza.
Mimi yupo mtu Canada ni rafiki yangu na hayupo humu nipe swali lako nitakurudishia majibu baada ya kumuuliza.