Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 856
- 1,260
Habari wakuu.
Leo nimekumbuka kisa changu na mdada flani pale Arusha mitaa ya mbauda, kirika a pale.
Kipindi hicho nilikuaga machinga, sasa sometimes nilikuaga napita gate kwa gate huyo dada akaniona kwa dirishan akaniambia niingie ndani aangilie ninachouza, basi bhana nilivyoingia akawa amesimama mlangoni akaniita kwa ishara ya kidole nikaenda akaniambia niingie ndani.
Akakaa kitandani kwake pale, aisee alikua ana khanga tu alafu ile khanga ikawa imeacha uwazi kwenya paja. asikwambie mtu aloo upaja mweupeee alafu umejaa supu.
Ilibaki kidogo sana nimrukie ila nikaupiga moyo konde nisije nikawa mbakaji, baada ya kuchagua akanunua, Mimi wakati huo ninavibtate balaa alafu kwa upole kabisa akaniambia mbona kama unaogopa? kaa basi nipike chai tunywe uende zako mwaya. Nikamwambia mi tayari wala asijali.
Tukaagana pale alafu akanambia uwe unakuja ntakua nakuungisha, ila sikurudigi tena pale.
ila ule mtego ulikua wa standard gauge.
Leo nimekumbuka kisa changu na mdada flani pale Arusha mitaa ya mbauda, kirika a pale.
Kipindi hicho nilikuaga machinga, sasa sometimes nilikuaga napita gate kwa gate huyo dada akaniona kwa dirishan akaniambia niingie ndani aangilie ninachouza, basi bhana nilivyoingia akawa amesimama mlangoni akaniita kwa ishara ya kidole nikaenda akaniambia niingie ndani.
Akakaa kitandani kwake pale, aisee alikua ana khanga tu alafu ile khanga ikawa imeacha uwazi kwenya paja. asikwambie mtu aloo upaja mweupeee alafu umejaa supu.
Ilibaki kidogo sana nimrukie ila nikaupiga moyo konde nisije nikawa mbakaji, baada ya kuchagua akanunua, Mimi wakati huo ninavibtate balaa alafu kwa upole kabisa akaniambia mbona kama unaogopa? kaa basi nipike chai tunywe uende zako mwaya. Nikamwambia mi tayari wala asijali.
Tukaagana pale alafu akanambia uwe unakuja ntakua nakuungisha, ila sikurudigi tena pale.
ila ule mtego ulikua wa standard gauge.