Wataalamu wa lugha ya kiswahili naombeni mnisaidie. Kuna baadhi ya m,aneno katika lgha ya yanapotamkwa mzungumzaji hutakiwa kuanza na ashakum, hasa kwa maneno ambayo yanaweza kudhaniwa kuwa ni matusi.(yaani mzungumzaji huanza kwa kusema ashakum si matusi), Sasa sijui ni kukua kwa lugha au ni nini kwa sababu siku hizi maneno mengi ambayo hapo mwanzo yalionekana kuwa ni ya kawaida lakini kwa yanaonekana kuwa ni matusi, hivyo naomba msaada kuwa je kuna haja ya kutumia ashakum kwa maneno kama; kuchomeka, kuingiza, kutoa,chomoa, panua, sugua, tanua,tao, chapa, gonga. Kwani maneno haya ninapoyatumia nashangaa watu hunielewa tofauti.Nisaidieni wataalamu wa kiswahili.