Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Unafiki uko hivi;wakati kikwete ana shauri kwamba rwanda iongee na FDLR yeye na wenzake Kabila,Zuma,na france walikua wamekubaliana kuisaidia FDLR kuingia rwanda,na kumbuka FDLR ilikua imedhoofishwa kijeshi na rwanda haikua tishio sana,lakini hao jamaa waliwakusanya FDLR kutoka nchi mbalimbali walizo kimbiliamo na kuwahami tayari kushambulia,JK alijua ushauri wake huwezi pokelewa vizuri na alitaka kuonyesha FDLR ni jeshi lenyenguvu ambalo halikushindwa,wakati rwanda wanajua halina nguvu,na usiku huo walishambulia ili ku confirm yaliyosemwa na jk,bahati ilikua mbaya kwao na hakuna aliyerudi kutoa story,so msihadaike na maneno mazuri ya jk,ndani yake ni mtu mwingine.

Sasa mkuu wewe ndiye mnafiki, mshauri PK ageuzie pua huku kwetu, lijulikane moja, tukate mzizi wa fitna!!
 
mossad007, dogo achakudanganya watu hapa,kuingilia mambo ya ndani ni kujaribu kugeuza mipangilio ya mtu kwake,kwanza rwanda inautaratibu wake wakurudisha wanyarwanda nchini rwanda,iliweza kuwarudisha wakimbizi zaidi ya milioni mbili kutoka congo,FDLR zaidi ya elfu kumi,na mpaka leo wanarudi bila ya msaada wa kikwete,sasa leo jamaa anachomoka sehemu anakwambia naona unayoyafanya sivyo inabidi ukae nao muongee,tena na genociders,ambao wameshindwa vile vile,hiyo ni kama kupatia award mauaji ya kuangamiza rwanda,hao inabidi waje watubu na sheria zichukue mkondo wake,nafikiri kama hilo panga linge pitishwa bagamoyo kikwete asingekua anashauri hivyo,kwa sababu walifanya maovu mungu aliwatia mikononi mwa wakombozi na ni aibu mbele ya mungu kuwachukua waovu katika nchi takatifu bila kutubu dhambi zao na kupewa huruma.

Wewe ndio unaetaka kudangaya watu hapa!

Watu wote wanaelewa wazi Kua Kagame alikua nyuma ya mambo yote tangu 1994. Ukumbuke ile Ripoti ya Yule Jaji Wa kifaransa aliemtuhumu Kagame mojakwamoja!

Na hayo ndio madai ya France dhidi ya Rwanda Siku zote kwamba utawala Wa Kigali ni utawala Wa kimabavu!

Leo hii FDLR mnawageuzia kibao Kua ndio wanahusika na mauaji ya Kimbali wakati huo huo wale waliosuka huo mpango wanakula Kuku kwa mrija ikulu!

Ni nani alikua nyuma ya mauji ya wale marais wawili?
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio unaetaka kudangaya watu hapa!

Watu wote wanaelewa wazi Kua Kagame alikua nyuma ya mambo yote tangu 1994. Ukumbuke ile Ripoti ya Yule Jaji Wa kifaransa aliemtuhumu Kagame mojakwamoja!

Na hayo ndio madai ya France dhidi ya Rwanda Siku zote kwamba utawala Wa Kigali ni utawala Wa kimabavu!

Leo hii FDLR mnawageuzia kibao Kua ndio wanahusika na mauaji ya Kimbali wakati huo huo wale waliosuka huo mpango wanakula Kuku kwa mrija ikulu!

Ni nani alikua nyuma ya mauji ya wale marais wawili?

Kumbe wewe bado uko ufaransa,pole we,hakuna cha amani kwa rwanda kutoka ufaransa,kwa taarifa yako ni hao na wanajeshi wa habyarimana walioitungua sasa imefichuliwa wanataka jinsi ya kuiondoa serikali,imeisha thibitika kwamba aliyetungua ndege alikua kanombe camp,na wakati huo ilikua chini ya wafaransa na majeshi ya habyarimana,huo utafiti umefanywa na mabingwa na kwanjia iliyo scientificaly.na hatakama ingekua RPF ndiyo waliotungua ndege hawakua na haki ya kuangamiza jamii yote.
 
Wewe hujui lolote la baba yako jk,nafikiri kama ingekua ushauri tu lisinge kua tatizo,ila kuna mengine yaliyo behind that advice,ndiyo yanayoendelea kuleta matatizo.
Nakuhusu washauri nafikiri rwanda hupokea ushauri wenye manufaa kwa wanyarwanda,lakini ile ya jk ilikua kwa manufaa ya FDLR hakuna lingine,na kikwete hatafanikiwa kamwe kwa njia yoyote ile.


Siitaji kujua chochote! Mmeona shida baada ya vikosi vya Tz kwenda DRC kupitia UN. Na Hilo ndio lililowapa shida sn kwasababu makundi mengi yaliyokua yakifanya harakati zao DRC zamehasisiwa Kigali na hufadhiliwa kutoka Kigali.

Ata km kuna mambo mengine Lkn hili ndio lililowapa shida sn na kuanza kutoa maneno sn!

Kiongozi wako anaogopa wapinzani na ndio Maana anawafukuza nchini mwake! Rwada hakuna demokrasia!
 
Kumbe wewe bado uko ufaransa,pole we,hakuna cha amani kwa rwanda kutoka ufaransa,kwa taarifa yako ni hao na wanajeshi wa habyarimana walioitungua sasa imefichuliwa wanataka jinsi ya kuiondoa serikali,imeisha thibitika kwamba aliyetungua ndege alikua kanombe camp,na wakati huo ilikua chini ya wafaransa na majeshi ya habyarimana,huo utafiti umefanywa na mabingwa na kwanjia iliyo scientificaly.na hatakama ingekua RPF ndiyo waliotungua ndege hawakua na haki ya kuangamiza jamii yote.


RPF ndio ilifanya yote hayo! Hapo huwezi kuisafafisha kwa namna yeyote ile!
 
Siitaji kujua chochote! Mmeona shida baada ya vikosi vya Tz kwenda DRC kupitia UN. Na Hilo ndio lililowapa shida sn kwasababu makundi mengi yaliyokua yakifanya harakati zao DRC zamehasisiwa Kigali na hufadhiliwa kutoka Kigali.

Ata km kuna mambo mengine Lkn hili ndio lililowapa shida sn na kuanza kutoa maneno sn!

Kiongozi wako anaogopa wapinzani na ndio Maana anawafukuza nchini mwake! Rwada hakuna demokrasia!

Naona wewe ndio umejiunga na uzi huu leo,au ndio wale wa TISS mmetumwa kupinga tu?hakuna lolote mlifanya pale kilichotokea ni M23 kuondoka na kuwapisha ili kuondoa shari kwani wanga wakomalia na kuwafyeka ingekua vita ya jimbo hili la maziwa makuu.
Kuhusu wapinzani pk haogopi mtu,bali niwao baada ya kufanya makosa hukimbia na kusema niwakimbizi wakisiasa,kingine huwezi kua mwalifu halafu ujifanye mwanasiasa eti itakupatia kinga hiyo haiwezekani,lazima sheria ichukue mkondo wake.
 
Hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi MUNGU anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, MUNGU anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.
 
RPF ndio ilifanya yote hayo! Hapo huwezi kuisafafisha kwa namna yeyote ile!

Walikuja wafaransa wenyewe na mashine zao na kupima kilakitu na kusema silaha iliyotumiwa ilikua kambini kanombe,sasa sijui hiyo report yako niyawapi na yalini?usije niletea story za wapinzani wa serikali ya kigali.
 
Naona wewe ndio umejiunga na uzi huu leo,au ndio wale wa TISS mmetumwa kupinga tu?hakuna lolote mlifanya pale kilichotokea ni M23 kuondoka na kuwapisha ili kuondoa shari kwani wanga wakomalia na kuwafyeka ingekua vita ya jimbo hili la maziwa makuu.
Kuhusu wapinzani pk haogopi mtu,bali niwao baada ya kufanya makosa hukimbia na kusema niwakimbizi wakisiasa,kingine huwezi kua mwalifu halafu ujifanye mwanasiasa eti itakupatia kinga hiyo haiwezekani,lazima sheria ichukue mkondo wake.


Wewe utaongea sn Leo!

Mwambie kiongozi wako akawaombe msamaha wale waliompa nchi. Maana imekua ni kawaida kwa Kigali ikikosolewa tu basi inakuja juu na kutoa kauli za ajabu!

Kuna habari nyingi mno kuhusu Kiongozi wako tangu alivyo Kua anaitaka Hiyo nchi mpk sasa Yeye na Yule mnaemuita Kaka mkubwa Yani Mu7.

Mwambieni PK akawaaombe radhi Wamarekani na Waingereza ndo waliompa nchi!
 
Sasa mkuu wewe ndiye mnafiki, mshauri PK ageuzie pua huku kwetu, lijulikane moja, tukate mzizi wa fitna!!

Naona nyie pk mnamuona mwendawazimu,pk hayuko hivyo anajua fika vita haijengi bali inabomoa,na yeye yuko bussy kuijenga nchi yake,hayuko tayari kubomoa alivyo vijenga,lakini kama italazimu itabidi avilinde kwa hali na mali.
 
News of Rwanda ni gazeti la serikali,kwa nini balozi wa Rwanda Tanzania asiitwe atoe msimamo wa serikali yake?na kwanini atuoni kuwa kinachoandikwa na hili gazeti ndio msimamo wa serikali yao,ni sawa na dairly news kwa Tanzania.Kagame anatapatapa kama vipi tuvunje uhusiano na Rwanda,aiwezekani ndani ya jumuiya ya afrika mashariki nchi wanachama tukawa na chuki atufiki,Julius Nyerere asingekubali ujinga huu,waulize wakenya enzi za Jomo Kenyata.

Swala la kutafuta amani mashariki ya Congo kwa Tanzania ilikuwa ni muhimu sana na bado ni muhimu sana,ingawaje sisi ndio wapigania haki,amani,uhuru na usawa katika Afrika lakini mzigo wa wakimbizi kwa mikoa ya magharibi ilituelemea sana.Matatizo ya mazingira,kuenea kwa silaha na uhalifu vilitosha,watu walishindwa kufanya shughuli za maendeleo kwa ajili vita,nasema hapana,Kagame damu uliyomwaga inatosha
 
Hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi MUNGU anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, MUNGU anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.
Nani kakuambia Tanzania na Rwanda zinata kupigana,au Tanzania inataka kuivamia Rwanda? Lakini kwa kuwa umekiri kuwa ni story za kitaa,basi zingeishia hukohuko kitaani kwa watoto wa vijiweni kuliko kuandika gazeti reeefu from point of ignorance na kuzileta humu kutujazia saver bure. My free advice to you is that always strive to argue from point of knowledge drawing conclusion from reliable sources na sio kitaani kama mwenyewe ulivyosema.
 
Walikuja wafaransa wenyewe na mashine zao na kupima kilakitu na kusema silaha iliyotumiwa ilikua kambini kanombe,sasa sijui hiyo report yako niyawapi na yalini?usije niletea story za wapinzani wa serikali ya kigali.


Ata hao wafaransa wanaweza Kua na maslahi na Kigali!

Kiongozi wako anakandamiza wapinzani kwa nguvu zote ni km Wewe hapa unsvyosema! Mara wahalifu hawawezi Kua wanasiasa! Yani mmejiwekea sheria na mataratibu magumu sn! Sasa nyie mnataka mpinzani atoke wapi?

Ulishawahi kujiuliza Kwanini Kiongozi wako anang'ang'ania Kua madarakani?
 
We n kitasa na ww n Mnyarwanda uliekulia bongo,yule rais wako mwambie kama anabif na JK bnafs amtafte akimalza urais wake mwakan mwez wa saba,akjarbu mzingua sasa tutamchakaza,tumemwonesha mfano congo na aulizie idd amin tulmfanya nn
Am out
 
Mukamasimba,
Ubishi wa kitoto unakera. Hapo Sinza kwako tunakujua fika kwa arrogance na misplaced superiority complex uliyo nayo. Ndo maana umefundishwa adabu kwenye site ile kule pahala ulikoendeleza upofu wako ukifikiri sisi Wabongo tumelala. Si umeshikishwa adabu? Wewe si unamuabudu PK? Bisha hapa nikuumbue
 
naona mnazidi kuingia humu kuandika porojo zenu, mnajiandaa sana, kumbuka kipindi kile tension ilipokua kubwa jamaa zenu walikua wanatembea na passports na fedha za kukimbia nchi..kwanini walikua wanafanya hivyo kama wanajiamini sana??
 
Walikuja wafaransa wenyewe na mashine zao na kupima kilakitu na kusema silaha iliyotumiwa ilikua kambini kanombe,sasa sijui hiyo report yako niyawapi na yalini?usije niletea story za wapinzani wa serikali ya kigali.



Hebu kasome habari ya Gasana Jean Marie Vianney, Huyo alikua ni Askari ktk Hiyo kambi ya Kanombe akisema ukweli juu ya tukio la Habyarimana na ulinganishe na huo uongo wako unaueneza hapa!
 
Back
Top Bottom