Miezi kadhaa sasa tangu niachane na aliyekuwa mke wangu, nahaha kutafuta mbadala bila mafanikio. Kila ninayemsiamamisha haishii kunikataa tu bali kunicheka kabisa; tena wengine kwa kunionyesha vidole kabisa nikipita wakiwa na mashostito wao.
Juzi upwiru ulizidi kiwango, nikaona nachotaka kujifia nini; nikammendea mdada mmoja anayejiuza kabisa hapa mtaani. Ni mdada asiye na shida yeyote linapohusika suala la kushare nawe mbususu pale amount fulani inapowekwa mezani. Vijana wakitoka kubeba tofali zao huko na kuhitaji kupumzika basi kwake ni moja ya sehemu ya kupumzikia. Nimemfikia na kukabidhi shida yangu na kuweka faranga mezani ajabu ni kwamba kanitimua......na sasa nikipita mtaani kwake ananinyoshea vidole na kunicheka na wenzake. Si mdada wa hadhi yangu kabisa ila ni upwiru tu ulionisukuma kwake. Sasa nadhalilishwa, nashuka hadhi kwa mtu kama huyu.
Kabla yake nimejaribu kujibebisha kwa x wangu kadhaa, nako hola.....hawataki hata kunisikiliza. Mmoja nikamwambia nimuoe, amekataa. Kabla ya kuvunjika ndoa, huyu alikuwa mstari wa mbele kuomba kuolewa nami.
Kabla ya mfarakano wa ndoa yetu, ilikuwa nawaepuka mimi mwenyewe na ikitokea hata nikimtania tu basi anavyoniganda mpaka nazima simu.
Jamani, kuna michezo ya kuvunjiana mvuto?!!!!
Juzi upwiru ulizidi kiwango, nikaona nachotaka kujifia nini; nikammendea mdada mmoja anayejiuza kabisa hapa mtaani. Ni mdada asiye na shida yeyote linapohusika suala la kushare nawe mbususu pale amount fulani inapowekwa mezani. Vijana wakitoka kubeba tofali zao huko na kuhitaji kupumzika basi kwake ni moja ya sehemu ya kupumzikia. Nimemfikia na kukabidhi shida yangu na kuweka faranga mezani ajabu ni kwamba kanitimua......na sasa nikipita mtaani kwake ananinyoshea vidole na kunicheka na wenzake. Si mdada wa hadhi yangu kabisa ila ni upwiru tu ulionisukuma kwake. Sasa nadhalilishwa, nashuka hadhi kwa mtu kama huyu.
Kabla yake nimejaribu kujibebisha kwa x wangu kadhaa, nako hola.....hawataki hata kunisikiliza. Mmoja nikamwambia nimuoe, amekataa. Kabla ya kuvunjika ndoa, huyu alikuwa mstari wa mbele kuomba kuolewa nami.
Kabla ya mfarakano wa ndoa yetu, ilikuwa nawaepuka mimi mwenyewe na ikitokea hata nikimtania tu basi anavyoniganda mpaka nazima simu.
Jamani, kuna michezo ya kuvunjiana mvuto?!!!!