Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Taifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
Ishinde timu shujaa anakuwaje Bashite tena????!
Taifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
AminaDah ninatamani sana Taifa Stars washinde...hizi siasa zenu zishindwe, kuaibika ataaibika kwa mengine tu kwa kweli!
Ahhh Tz tunavituko sisi tunajuwa kuchangamkia fursa wanapishana tu angani wabunge, wanasiasa mpaka walevi.
Sidhani kama unafuatilia!makonda hashidwagi kila kitu huenda sawiaaaaaaaa
Basi angesubiri na Algeria ....Kwani unadhani kile Kipigo hakukiona in advance Kiongozi?
Leo mida ya Saa 5 Usiku hadi Saa 6 na dakika 55 kuna Kiongozi Mmoja wa Tanzania ambaye ni Mpenda Sifa na hupenda Kuonekana kuwa hashindiwi Kitu hasa Mipango yake na ndiyo Mdanganyifu Namba Moja kwa Rais wetu anaenda Kuumbuka nchini Misri na ndipo atajua kuwa kuna Mambo mengine ni ya Kiufundi zaidi na siyo Siasa hasa zile zake za Kujipendekeza.
Natanguliza Shukran zangu za dhati kabisa kwa Wakenya hasa kwa Wanyama na Oliech.
Inasikitisha tu team yetu ya Taifa wamejikuta katikati hawajui wamfurahishe nani, siasa zimeingizwa, vijembe kabla hawajafuzu wote kimya sasa wanachangamkia fursa. FIFA sio wajinga kupiga marufuku siasa katika michezo leo team ya Taifa na uhakika imepoteza support kwa kiasi kikubwa tu sababu ya hawa wana siasa wametugawa mitaani sasa wanakuja kumalizia kitu ambacho ndio tunakipenda wote bila kujali itikadi zetu wameshaingiza mikosi yao. Piga marufuku siasa katika michezo.Huyu Mlevi ni wa kutengenezwa wala asikuumize Kichwa Mkuu..
Huyo mkuu leo kaanza kutoa hotuba kaanza kumtaja mfalme nao wachezaji huyo Msuva naye kaingia mtegoni kaanza tunamshukuru mwenye nchi na sisi tuko kwa ajili ya serikali sio Tanzania tena, unashukuru serikali wakati mmetembezewa bakuli la michango ya nguvu watu wanatoa na kinyongo. bora angesema tunawashukuru waliotuchangia kitu kidogo lakini wameshukuriwa watu waliotoa 0. tufungwe tu turudi kucheza ndondo tu.Inasikitisha tu team yetu ya Taifa wamejikuta katikati hawajui wamfurahishe nani, siasa zimeingizwa, vijembe kabla hawajafuzu wote kimya sasa wanachangamkia fursa. FIFA sio wajinga kupiga marufuku siasa katika michezo leo team ya Taifa na uhakika imepoteza support kwa kiasi kikubwa tu sababu ya hawa wana siasa wametugawa mitaani sasa wanakuja kumalizia kitu ambacho ndio tunakipenda wote bila kujali itikadi zetu wameshaingiza mikosi yao. Piga marufuku siasa katika michezo.
Makonda ni mchezaji kwani? Akili zenu zina ujinga sanaTaifa Stars tunashinda goli 2 na Makonda ataibuka shujaa wa Taifa
Jaribu kuwa mzalendo , acha hayo mambo.Ikishinda leo nitatembea kwa Miguu kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma.
Mkuu una uhakika utafika? Kigoma mbaljIkishinda leo nitatembea kwa Miguu kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma.
Hivi makonda nae ataingia uwanjani?
Labda wanyama asicheze leo
Na mimi naomba hivyo hivyo. Kumbe tuko wengi ee!naomba mungu leo tupigwe 5 bilaa . nitafurahi kweli kweli