Kuna kiongozi wa Tanzania sifa zake na kutaka kuonekana kuwa hashindwi kitu leo anaenda kuumbuka nchini Misri

Leo mida ya Saa 5 Usiku hadi Saa 6 na dakika 55 kuna Kiongozi Mmoja wa Tanzania ambaye ni Mpenda Sifa na hupenda Kuonekana kuwa hashindiwi Kitu hasa Mipango yake na ndiyo Mdanganyifu Namba Moja kwa Rais wetu anaenda Kuumbuka nchini Misri na ndipo atajua kuwa kuna Mambo mengine ni ya Kiufundi zaidi na siyo Siasa hasa zile zake za Kujipendekeza.

Natanguliza Shukran zangu za dhati kabisa kwa Wakenya hasa kwa Wanyama na Oliech.

Nipo na adui Harambee Stars!

Fvck everybody else plus Bashite!
 
Huyu Mlevi ni wa kutengenezwa wala asikuumize Kichwa Mkuu..
Inasikitisha tu team yetu ya Taifa wamejikuta katikati hawajui wamfurahishe nani, siasa zimeingizwa, vijembe kabla hawajafuzu wote kimya sasa wanachangamkia fursa. FIFA sio wajinga kupiga marufuku siasa katika michezo leo team ya Taifa na uhakika imepoteza support kwa kiasi kikubwa tu sababu ya hawa wana siasa wametugawa mitaani sasa wanakuja kumalizia kitu ambacho ndio tunakipenda wote bila kujali itikadi zetu wameshaingiza mikosi yao. Piga marufuku siasa katika michezo.
 
Inasikitisha tu team yetu ya Taifa wamejikuta katikati hawajui wamfurahishe nani, siasa zimeingizwa, vijembe kabla hawajafuzu wote kimya sasa wanachangamkia fursa. FIFA sio wajinga kupiga marufuku siasa katika michezo leo team ya Taifa na uhakika imepoteza support kwa kiasi kikubwa tu sababu ya hawa wana siasa wametugawa mitaani sasa wanakuja kumalizia kitu ambacho ndio tunakipenda wote bila kujali itikadi zetu wameshaingiza mikosi yao. Piga marufuku siasa katika michezo.
Huyo mkuu leo kaanza kutoa hotuba kaanza kumtaja mfalme nao wachezaji huyo Msuva naye kaingia mtegoni kaanza tunamshukuru mwenye nchi na sisi tuko kwa ajili ya serikali sio Tanzania tena, unashukuru serikali wakati mmetembezewa bakuli la michango ya nguvu watu wanatoa na kinyongo. bora angesema tunawashukuru waliotuchangia kitu kidogo lakini wameshukuriwa watu waliotoa 0. tufungwe tu turudi kucheza ndondo tu.
 
Back
Top Bottom