Mopao Joseph
Member
- Jul 1, 2009
- 34
- 0
Kwa imani kubwa waliyokuwa nayo wanainchi kwa viongozi wao waliowachagua inaonekana kutoridhishwa nao.
moja,baadhi yao hawajawahi kurudi nyuma toka kuchaguliwa au wengine wameonekana wakati wa ziara ya `presdaa`,
mbili,hawajawahi kuchangia mada yoyote tofauti na kuonekana wanapiga makofi either kukubali au kupinga hoja.
moja,baadhi yao hawajawahi kurudi nyuma toka kuchaguliwa au wengine wameonekana wakati wa ziara ya `presdaa`,
mbili,hawajawahi kuchangia mada yoyote tofauti na kuonekana wanapiga makofi either kukubali au kupinga hoja.
Last edited: