Tetesi: Kuna Dalili za Kukwama Kwa Mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda, Hoima-Tanga Baada ya Mabenki Washirika Kujitoa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,595
Mradi wa Bomba la Uganda na Tanzania wa Hoima Hadi Tanga unaendelea kukumbwa na misukosuko kufuatia taarifa za kujitoa Kwa Benki 9 kati ya 10 ambazo ni washirika na zilikuwa zitoe Fedha za mkopo kujenga mradi..

Waliojitoa ni sababu zile zile za kijinga kwamba eti utachagua mazingira na blaa blaa kama hizo.


My Take.

Uganda, DRC na Tanzania Watumie pesa za Ndani Kumfadhili Ujenzi vinginevyo hii ya kusubiria Wazungu Haitafaulu maana Wana wivu.
 
Mradi wa Bomba la Uganda na Tanzania wa Hoima Hadi Tanga unaendelea kukumbwa na misukosuko kufuatia taarifa za kujitoa Kwa Benki 9 kati ya 10 ambazo ni washirika na zilikuwa zitoe Fedha za mkopo kujenga mradi..

Waliojitoa ni sababu zile zile za kijinga kwamba eti utachagua mazingira na blaa blaa kama hizo.


My Take.

Uganda, DRC na Tanzania Watumie pesa za Ndani Kumfadhili Ujenzi vinginevyo hii ya kusubiria Wazungu Haitafaulu maana Wana wivu.

Miaka miwili iliyopita nilisema mradi huu hautafanikiwa. Wakati wa kufanya miradi ya mafuta ya mwambani (fossil fuels) unaishia. Tumepigwa tayari.
 
Tanzania inategemea kusambaza gas Uganda na Kenya kupitia mifereji hiyo hiyo ya bomba la mafuta.

First world hawataki ona Uganda ina supply mafuta, wanajua kabisa hiyo hali itayumbisha masoko yao ya ukanda wa Africa ya bahari ya Hindi.

Nadhani bado ni best option Uganda na Tanzania kuanza mradi kwa fedha za ndani, hao mabeberu watajileta wenyewe tu huko mbele.
 
Unachukua pesa unawekeza kusafirisha mafuta ghafi afu wanunuzi wakatae.

Kwanini Uganda asitafute pesa ajenge refinery ili auze mafuta hapa hapa East Afrika
Ndugu yangu, kupanga ni kuchagua. Na zaidi huwezi kula keki na bado ikaendelea kuwepo. Haya wengi wanayolalamikia hao mabeberu ni kwa sababu sisi tumejitakia. Viongozi wetu wanajaa ufisadi, wanawaza na kupanga waendeleeje kutawala, wanaishi maisha ya hali ya juu, hawaweki vipaumbele bya maana kwenye kupanga maendeleo, tupo tupo tu..... uwezo tutapata wapi? Ukilipenda boga, penda na maua yake.. Watawala wetu wamewekeza kwenye ufisadi, nchi zetu zitawezaje kujiendeleza?
 
Tanzania inategemea kusambaza gas Uganda na Kenya kupitia mifereji hiyo hiyo ya bomba la mafuta.

First world hawataki ona Uganda ina supply mafuta, wanajua kabisa hiyo hali itayumbisha masoko yao ya ukanda wa Africa ya bahari ya Hindi.

Nadhani bado ni best option Uganda na Tanzania kuanza mradi kwa fedha za ndani, hao mabeberu watajileta wenyewe tu huko mbele.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndoto za Alinacha hizi. Unadhani fedha za ndani zinanyesha kama mvua. Toeni mapovu, andikeni mpaka vidole viote sugu lakini ukweli ni ule ule: ndivyo tulivyoamua kuishi. Kuendeleza nchi kunahitaji commitments ambazo viongozi wetu hawana..
 
Mradi wa Bomba la Uganda na Tanzania wa Hoima Hadi Tanga unaendelea kukumbwa na misukosuko kufuatia taarifa za kujitoa Kwa Benki 9 kati ya 10 ambazo ni washirika na zilikuwa zitoe Fedha za mkopo kujenga mradi..

Waliojitoa ni sababu zile zile za kijinga kwamba eti utachagua mazingira na blaa blaa kama hizo.


My Take.

Uganda, DRC na Tanzania Watumie pesa za Ndani Kumfadhili Ujenzi vinginevyo hii ya kusubiria Wazungu Haitafaulu maana Wana wivu.

Kaka tutumie fedha za ndani kusafirisha crude oil nje ya nchi?! au tutumie fedha za ndani kuhakikisha Uganda na nchi nyingine kwa makubaliano kujenga viwanda vya kuchakata crude oil kupata bidhaa za mafuta?! Hii ya pili tukitoa tu wazo tunachonganishwa na kupigana vita au tutauliwa kwa njaa kwasababu ya vikwazo. Yakwanza itakuwa ni upumbafu.
 
Kaka tutumie fedha za ndani kusafirisha crude oil nje ya nchi?! au tutumie fedha za ndani kuhakikisha Uganda na nchi nyingine kwa makubaliano kujenga viwanda vya kuchakata crude oil kupata bidhaa za mafuta?! Hii ya pili tukitoa tu wazo tunachonganishwa na kupigana vita au tutauliwa kwa njaa kwasababu ya vikwazo. Yakwanza itakuwa ni upumbafu.
Unajua gharama ya kujenga kiwanda Cha kuweza kusafisha hayo mafuta yote? Waulize Nigeria na Angola Kwa nini hawakujenga..

Kwa Sasa ndio Dangote kajenga,harafu mafuta ya Uganda yanakadiliwa kuisha ndani ya miaka 20 tuu labda DRC akubali kujiunga .

Mwisho Dunia inahama Sasa kutoka huko kwenye fossils kwenda kwenye clean Energy nalo ni tatizo jingine.
 
Unajua gharama ya kujenga kiwanda Cha kuweza kusafisha hayo mafuta yote? Waulize Nigeria na Angola Kwa nini hawakujenga..

Kwa Sasa ndio Dangote kajenga,harafu mafuta ya Uganda yanakadiliwa kuisha ndani ya miaka 20 tuu labda DRC akubali kujiunga .

Mwisho Dunia inahama Sasa kutoka huko kwenye fossils kwenda kwenye clean Energy nalo ni tatizo jingine.
Sijakuelewa!
 
Back
Top Bottom