Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
Habarini wana JF,
Hivi kuna athari au madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa mama au mtoto endapo mama hatafanya mapenzi tangu mimba ikiwa changa hadi siku ya kujifungua?
Hivi kuna athari au madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa mama au mtoto endapo mama hatafanya mapenzi tangu mimba ikiwa changa hadi siku ya kujifungua?