Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?