SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Wanajamvi habari?
Nionavyo mie katika maisha yetu kama kuna kitu ambacho kinatuboa wengi ni maswali yasioisha na hata pale unapodhani umewaridhisha wauliza maswali...lolz...usijidanganye ndio kwanza yanaanza. Kikubwa ni kuelewa tu MASWALI hayatakaa yaishe na wewe ukifanya jambo lako jitahidi kujiridhisha wewe kabla hujataka kumridhisha mwenzio. Hebu tuangalie hapa chini baadhi ya maswali ambayo hutokaa huyakwepe..
When you're single, people ask about gf/bf.
When you have one, they ask is there any future?
When you have a fiance/fiancee, they ask about wedding?
When you get married, they ask when will you have a baby?
When you already have one, they ask when is little brother or sister coming?
When you get divorced, they ask why?
If you move on, they ask why so quickly?
Kiufupi.. people will never stop asking...And, If you're proud of who you are and you don't care about what people think about you, stick with what you think is worthy for you, because it's YOUR LIFE and YOU alone should decide how to LIVE IT.
Karibuni kwa mjadala...........
Nionavyo mie katika maisha yetu kama kuna kitu ambacho kinatuboa wengi ni maswali yasioisha na hata pale unapodhani umewaridhisha wauliza maswali...lolz...usijidanganye ndio kwanza yanaanza. Kikubwa ni kuelewa tu MASWALI hayatakaa yaishe na wewe ukifanya jambo lako jitahidi kujiridhisha wewe kabla hujataka kumridhisha mwenzio. Hebu tuangalie hapa chini baadhi ya maswali ambayo hutokaa huyakwepe..
When you're single, people ask about gf/bf.
When you have one, they ask is there any future?
When you have a fiance/fiancee, they ask about wedding?
When you get married, they ask when will you have a baby?
When you already have one, they ask when is little brother or sister coming?
When you get divorced, they ask why?
If you move on, they ask why so quickly?
Kiufupi.. people will never stop asking...And, If you're proud of who you are and you don't care about what people think about you, stick with what you think is worthy for you, because it's YOUR LIFE and YOU alone should decide how to LIVE IT.
Karibuni kwa mjadala...........