We umejuaje umeona mkataba wake?Inapendeza ila kwenye hiyo million20 anambulia million5 zote zinenda kutunisha mfuko wa WCB...
Hujui unachoongea wwWatu wanamuhangaikia .......wanapata shida,kesho ajitoe mseme wasafi wanyonyaji,watawanyonya Hadi kamasii
Hujui unachoongea ww
Kipi kimejiri ?Mwenye ako na connection anione inbobo