huu ni upuuzi mtupu umekosa la kufanya ?
ushauri wa bure kwa mtoa mada, kama unatumia pombe acha mara moja!nimewahi kuishi india miaka 3 ya kusoma, na nimekaa uhindini upanga ktk nyumba ya msajili miaka 10 na baada ya hapo nyumba iliuzwa. Katika ufahamu wangu wa hawa ndugu zetu wa kihindi, kutinga mabembea kwao ni utamaduni, katika nyumba zote za wahindi nilizobahatika kuingia, sikukosa kuona bembea hata moja. Majuzi tu nilipomuona mheshimiwa akitinga mabembea kule jamaica, hapo ndipo liliponijia wazo na swali kuwa huenda mheshimiwa akawa na uhusiano wa kidamu na wadosi! Kwa sababu tu hili ni wazo langu, naomba yoyote mwenye data za mheshimiwa amwage
ushauri wa bure kwa mtoa mada, kama unatumia pombe acha mara moja!
ushauri wa bure kwa mtoa mada, kama unatumia pombe acha mara moja!
ushauri wa bure kwa mtoa mada, kama unatumia pombe acha mara moja!
Si pombe tu hata Mihadarati.....
atumie klorokwini???????
Gerald HANDO wa Clouds leo asubuhi amefafanua kuwa lile si bembea.....ni chombo maalum cha utalii.... na kuwa JK alikuwa mapumzikoni kama alivyoshauriwa na madakatari....magazeti yametuambia eti ile ni ziara ya kikazi.....sijui tumwamini nani.
Pia ajaribu kunywa maji yatamfaa zaidi
huu ni upuuzi mtupu umekosa la kufanya ?
ushauri wa bure kwa mtoa mada, kama unatumia pombe acha mara moja!
Alternatively kama hanywi aanze inaweza kumsaidia, sometimes pombe husaidia husaidia watu wenye stredss ikinywewa kwa kiasi cha mtumiaji.
nimewahi kuishi india miaka 3 ya kusoma, na nimekaa uhindini upanga ktk nyumba ya msajili miaka 10 na baada ya hapo nyumba iliuzwa. Katika ufahamu wangu wa hawa ndugu zetu wa kihindi, kutinga mabembea kwao ni utamaduni, katika nyumba zote za wahindi nilizobahatika kuingia, sikukosa kuona bembea hata moja. Majuzi tu nilipomuona mheshimiwa akitinga mabembea kule jamaica, hapo ndipo liliponijia wazo na swali kuwa huenda mheshimiwa akawa na uhusiano wa kidamu na wadosi! Kwa sababu tu hili ni wazo langu, naomba yoyote mwenye data za mheshimiwa amwage