cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,000
- 139,751
woiiihUna uhakika ni bao 11?
Ok, kuna jamaa ilikuwa siku yake ya kwanza kufanya ngono. Alikuwa mkubwa tu 28 hivi. Kampata mwanamke kaenda naye faragha.
Kamalizana naye alafu akarudi kijiweni kuwahadithia wenzake. 'Wanangu eeeh, nimepiga bao 11'.
Wenzake wakatamanika kutaka kujua kawezaje. Ndo akawaeleza alikuwa anachomeka na kuchomoa. Yaani ile ingiza chomoa, ingiza chomoa
Vijana mnaita 'tako'. Alipiga tako 11 akaachia wazungu. Yeye anaita bao 11.
Ukute mwenzako naye alikuwa kama mwenzako.