Kumekuwa na mlolongo wa Malori yamepaki njia ya ubungo kuanzia shekilango hadi njia ya Ubungo maziwa

Siafu na Manga

JF-Expert Member
Aug 5, 2013
2,885
8,955
Kumekuwa na mlolongo wa Malori yamepaki njia ya ubungo kuanzia shekilango hadi njia ya Ubungo maziwa, malori haya yamepelekea kuziba njia moja na kulazimisha gari zitumie njia moja tu na kusababisha foleni.

Je siku hizi watu wanaamua tu kutumia barabara kama maegesho ya magari wakati wakisubiri kwenda wanapoenda?? Na sijui yanaenda wapi huko Ubungo maziwa??

Hii naona itakuwa kero, Serikali wayatafutie parking badala ya kuyaacha yapaki barabarani
 
Kumekuwa na mlolongo wa Malori yamepaki njia ya ubungo kuanzia shekilango hadi njia ya Ubungo maziwa, malori haya yamepelekea kuziba njia moja na kulazimisha gari zitumie njia moja tu na kusababisha foleni. Je siku hizi watu wanaamua tu kutumia barabara kama maegesho ya magari wakati wakisubiri kwenda wanapoenda?? Na sijui yanaenda wapi huko Ubungo maziwa?? Hii naona itakuwa kero, Serikali wayatafutie parking badala ya kuyaacha yapaki barabarani
Hayo maroli yanaenda bandari kavu iliyopo hapo hapo ubungo. Huko bandarini kavu maroli yamejaa bado tunaendelea kushusha mzigo. Hayo unayoyaona yamepanga hapo karibu na kituo Cha mwendokasi shekilango Yana mzigo na yanasubili kushusha. Hivyo kuwa mpole usilalamike. Unataka zikapaki magogoni
 
Back
Top Bottom