Kumekucha: Sasa Iukulu yahusishwa sakata la kutorosha wanyamapori

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Ikulu yahusishwa kutorosha Twiga


Wingu zito bado limezingira utoroshaji wa wanyamapori hai wakiwemo Twiga kwenda Doha nchini Qatar huku baadhi ya maofisa waIkulu na wale wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakitajwa kufahamu mpango huo.

Kutajwa kwa maofisa wa Ikulu kunatokana naukweli kwamba ndege iliyotumika kutorosha wanyama hao inadaiwa kuwa ni ya Jeshi la Qatar jambo linaloibua maswali kuwa iliingiaje anga la Tanzania bila Ikulu kufahamu.

“Ndege iliyobeba ni ya Qatar Emir Air Force na kwa ufahamu mdogo ni kwamba ili ndege hiyo ije nchini ni lazima kuwe na mawasiliano kati ya nchi na nchi,” kilidokeza chanzo chetu.

Habari zilizofikia Mwananchi Jumapili ambazo hazijathibitishwa zinadai kuwa kulikuwa na mawasiliano kati ya Ikulu, ubalozi wa Tanzania nchini Qatar na utawala wa kifalme wa Qatar hadi ndege hiyo kupata kibali cha kutua nchini.

“Ukitazama sakata zima hili, bado kuna watu wazito hawajakamatwa ambao walishiriki ama kwa kujua au kwa kutofahamu kwa sababu si jambo la kawaida ndege ya nchi nyingine kutua nchini bila ya mawasiliano,” kimedai.

Habari hizo zinadai kuwa ndege hiyo ilipewa kibali cha kutua nchini kwa kile kinachodaiwa kuwa ilikuwa imebeba familia ya kifalme, hali iliyofanya isitiliwe shaka hata ilipokuwa ikipakia wanyamapori hao Novemba mwaka jana.

Ofisa mmoja mwandamizi katika uwanja wa ndege wa KIA amedokeza kuwa yupo Afisa mmoja wa TRA aliyesaini hati kuidhinisha kupakiwa kwa wanyamapori hao lakini hadi sasa hajakamatwa.

Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro Patience Minga alikaririwa akisema ofisa anayetajwa katika nyaraka hizo alishastaafu mwaka jana hivyo TRA haizitambui nyaraka hizo na haziwezi kutambuliwa kama za mamlaka hiyo……………..

Habari zaidi katika Mwananchi Jumapili Uk 2.



My take:

Hili sakata bado asubuhi, kwa maoni yangu litaiyumbisha sana serikali ya CCM, hasa Ikulu. Linatarajiwa kutinga Bungeni wiki hii na yule mama mkuubungeni bila shaka anafanya rehearsal (zoezi) la kuli-punch kama ilivyo kawaida yake.
 
Mzee hapa unapoteza muda tu.
Kiranja hakai nyumbani,anajua haya yote,perhaps kutoka nje ya nchi kunamsaidia kuepuka issue hizi.
 
Namsikitikia JK. Akikaa kimya kwa hili, basi yeye mwenyewe atakuwa anahusika moja kwa moja katika hujuma hiyo dhidi ya rasilimali za Watanzania.

Na nina hakika kabisa atauchuna tu kwa matumaini kwamba suala litafutika muda si mrefu na watu watasahau. Hajui kwamba anapofanya hivyo, anazidi kukididimiza chama chake kwa uharaka zaidi.
 
Serikali ya ccm yapasa ijiuzuru! Nyamongo-Canada,kagoda-kikwete,Meremeta-Jwtz! Yote haya yaigusa ikulu
 
Ikulu yahusishwa kutorosha Twiga


Wingu zito bado limezingira utoroshaji wa wanyamapori hai wakiwemo Twiga kwenda Doha nchini Qatar huku baadhi ya maofisa waIkulu na wale wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakitajwa kufahamu mpango huo.

Kutajwa kwa maofisa wa Ikulu kunatokana naukweli kwamba ndege iliyotumika kutorosha wanyama hao inadaiwa kuwa ni ya Jeshi la Qatar jambo linaloibua maswali kuwa iliingiaje anga la Tanzania bila Ikulu kufahamu.

"Ndege iliyobeba ni ya Qatar Emir Air Force na kwa ufahamu mdogo ni kwamba ili ndege hiyo ije nchini ni lazima kuwe na mawasiliano kati ya nchi na nchi," kilidokeza chanzo chetu.

Habari zilizofikia Mwananchi Jumapili ambazo hazijathibitishwa zinadai kuwa kulikuwa na mawasiliano kati ya Ikulu, ubalozi wa Tanzania nchini Qatar na utawala wa kifalme wa Qatar hadi ndege hiyo kupata kibali cha kutua nchini.

"Ukitazama sakata zima hili, bado kuna watu wazito hawajakamatwa ambao walishiriki ama kwa kujua au kwa kutofahamu kwa sababu si jambo la kawaida ndege ya nchi nyingine kutua nchini bila ya mawasiliano," kimedai.

Habari hizo zinadai kuwa ndege hiyo ilipewa kibali cha kutua nchini kwa kile kinachodaiwa kuwa ilikuwa imebeba familia ya kifalme, hali iliyofanya isitiliwe shaka hata ilipokuwa ikipakia wanyamapori hao Novemba mwaka jana.

Ofisa mmoja mwandamizi katika uwanja wa ndege wa KIA amedokeza kuwa yupo Afisa mmoja wa TRA aliyesaini hati kuidhinisha kupakiwa kwa wanyamapori hao lakini hadi sasa hajakamatwa.

Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro Patience Minga alikaririwa akisema ofisa anayetajwa katika nyaraka hizo alishastaafu mwaka jana hivyo TRA haizitambui nyaraka hizo na haziwezi kutambuliwa kama za mamlaka hiyo……………..

Habari zaidi katika Mwananchi Jumapili Uk 2.



My take:

Hili sakata bado asubuhi, kwa maoni yangu litaiyumbisha sana serikali ya CCM, hasa Ikulu. Linatarajiwa kutinga Bungeni wiki hii na yule mama mkuubungeni bila shaka anafanya rehearsal (zoezi) la kuli-punch kama ilivyo kawaida yake.

All cats are grey in the dark.
 
Si nilishawahi kusikia tetesi kuwa tuna mama mdogo wetu huko walikoenda hawa wanyama wetu au ulikuwa uzushi tu!
 

WILDLIFE SMUGGLING THROUGH KIA:
Maige, Mwinyi – just be courageous and resign


BY HILAL K.SUED

Scandals hitting the nation are taking its toll – not as one would expect to see heads rolling – but on both the credibility and decorum of the establishment.

Edmund Burke, the 19[SUP]th[/SUP] century Anglo-Irish political theorist once defined a scandal as an event that has happened, upon which it is difficult to speak, and impossible to be silent.

For officials, the speaking part is even harder, and when they do, one is left wondering why they were hired to the job, despite suspect credentials.

For example, some of the things that take place in this country suggest the absence of a functioning government. But since the Government is largely an abstract creature, then upright people directing it have either gone AWOL, or those still hanging around are of the said dubious qualifications.

I could not fathom, for instance, that the Prime Minister Mizengo Pinda could be unaware that some ministers are not housed; they stay in hotels at great cost to the nation. But in this country who cares? He doesn't give a damn even when people's representatives shed tears over huge allowances they get from taxpayers. Instead he tells Tanzanians that the extravagance is in accordance to law and regulations. Indeed? Why didn't he also add that it would be sinful to change that law, or whatever?

Pinda is not the only leader in the JK administration who does not know what goes under him. Last week Ezekiel Maige, the Minister for Natural Resources and Tourism flew in rage – or pretended to do so – at certain officials in his ministry who he said were trying to shield some people involved in the wildlife smuggling scam that took place at Kilimanjaro International Airport last November.

The mere fact that the minister appears to be angry now – six months after the commission of the crime is laughable, if not pitiful, especially when the scam was revealed not by him, but a newspaper.

For over half a year, Maige was dead to the world, for even a whiff of the elaborate deal that involved scores of officials escaped his nostrils. If one believes this trash, then one should also believe the eastern skies will be host to the next sunset.

In any language, the incident that involved a foreign military aircraft that not only illegally entered our airspace, but also illegally landed on our airport and illegally flew away with an illicit cargo – live animals, is a scandal.

And wonders of all wonders – both Maige, and his colleague in the Defence Ministry, Hussein Mwinyi are still in their jobs! They are there because a very bizarre definition of ‘scandal' was allowed to develop in this country and firmly took roots.

Basically, a scandal is a widely publicized incident that involves allegations of wrongdoing, disgrace, or moral outrage that may be based on reality, the product of false allegations, or a mixture of both.

And it is only the public scandal that offends, for to sin in secret is no sin at all. There are no good girls gone wrong, just bad girls found out.

Some scandals are broken by whistleblowers – such as the one in question and first revealed by a Kiswahili weekly. Another one was the EPA Scandal that involved rip-offs of billions of shillings from the BoT's EPA.

While, admittedly, falsely alleged scandals can lead to witch-hunts against the innocent, an attempt to cover up a scandal can ignite a greater scandal when such cover-up is exposed and fails, as what happened in the Watergate Scandal in the US in early 70s that ultimately led to the resignation of President Richard Nixon.

In the EPA Scandal, there were initial attempts by government officials to cover it up. But since, contrary to official bragging, the country's governance system does not adhere to openness, rule of law and accountability, it did not provoke any serious ramifications – including, say, principled resignations of officials concerned.

[A principled resignation is the one tendered swiftly after a scandal becomes public knowledge.]

As usual, calls for top public officials to resign over the wildlife theft scam are being heard, loud and clear. The singled out officials are the two ministers even though those who are blowing the trumpets know very well that these are just calls from the wilderness. Our top officials and politicians do not have a culture of principled resignation.

Unfortunately there are also some people in our midst who also question the justification for a top public official to resign from a scandal that has hit the area under his charge, saying such a person could not be directly involved in the scandal itself.

When MV Bukoba sank in Lake Victoria in 1996 drowning over nearly 1,000 people, there were calls for the then Transport Minister, William Kusila, and the TRC boss, Limford Mboma to resign. (The ill-fated ship was operated by TRC's Marine Department).

They refused to resign and some people sided with them, wondering why the duo should have resigned, since they were not, in any way in or near the ship when disaster struck – in other words they could not possibly be tied to any blame. Such skewered thinking is just unfortunate, but explains a lot on the country's current predicament.

The Natural Resources and Tourism ministry is among the country's most scandalous. For a very long time it has been characterized by mal-practices whereas a lot of wealth derived from massive riches the country has is swindled by some few dishonest individuals within the ministry, and their associates.

Since the time Ms Zakia Meghji headed the ministry we never stopped hearing reports of resource mismanagement, particularly illegal exportation of logs. Her successor, Anthony Diallo failed to stop the practice which the Government banned since 2004 when Ms Meghji headed the ministry.

His successor, Shamsa Mwangunga was repeatedly taken to task by legislators in Parliament when they expressed their concerns that things were not all well in the ministry.

During one House session two years ago the outspoken Same East MP, Anne Kilango said the country was being made poor because of some few individuals in the ministry who were plundering our natural heritage -- the national resources in collaboration with some greedy people outside the country.

Kilango wondered why the president was left to crisscross the world seeking for financial aid while ivory worth billions of dollars was being smuggled to Vietnam.

But all that came to no avail if the most daring of all scandals to hit the ministry – the live wildlife theft through KIA last November is any indication.

To show that Minister Maige has risen from his slumbers early last week, he announced beefing up of security at the country's exit points designed to foil illegal transportation of wild animals.

Speaking at the sidelines of the Fourth Association for Tropical Biology and Conservation meeting in Arusha last week, he said "…this time around we'll be very tough with all those behind this dangerous business of illegal transportation of animals." He also vowed to wipe out the entire syndicate of wildlife smugglers.

Tough words that cannot hurt a fly. A syndicate of smugglers who dare bring in a military plane of a foreign government and flying out with animal cargo is no ordinary syndicate made of henchmen from urban backyards.

No one can swallow that so easily, in the same manner people not believing that EPA was hatched and money ripped of by smalltime crooks. Tell that to the mountains.

Source: The African on Saturday.
 
Duh, mbona nchi inagombaniwa kama mpira wa kona? Mara Nyamongo kabla haijakaa sawa kuna twiga wametoroshwa bila ndege kujulikana imeingiaje? Jamani tuna radar ya kisasa kabisa tena tunaambiwa ni ya kijeshi ambayo ilikung'uta kisawasawa mifuko ya walipa kodi sasa inakuwaje ndege ije hapa iondoke bila vyombo vyetu vya usalama kujua? Au radar nayo haifanyi kazi barabara na inaona baadhi ya ndege tu kama ilivyo ndege ya rais ambayo tumeambiwa humu jamvini kwamba inatua viwanja vitano!! Wengine yetu mach.
 
Hivi kuna ubalozi wa Tanzania nchini Qatar? ulianza lini?

Yes, lakini anakuwa based in Oman ila anahusika na nchi za falme za kiarab, na kama sikosei kwa sasa Balozi wa Tanzania huko ni aliyekuwa Kamshna wizara ya Fedha Zanzibar - Hussein.
 
Hawa ni Watanzania kweli? Mbona hawana uzalendo hata chembe! Afrika bado sana viongozi wetu hapa Tanzania bado wapo hatua ya manyani hawajawa binadamu kamili.

Yale maneno ya Nyerere ya Ikulu kuwa pango la wanyanganyi sasa yametimia.
 
Yaani aibu tena na tena wale wale walioiba wanyama enzi za mzee Ruksa wamekuja tena na wamezoa wanyama tena mbele yetu!!!kweli wa tanzania tuelala
 
tetesi zimeenea kitaa kuwa mkuu wa kaya ana kisima cha mafuta uarabuni huko,nafikiri alipewa in exchange for wanyama,..natamani hii nchi iangamizwe na bomu la atomic,kianze kizazi kipya...
 
Tatizo tunawahusudu sana Waarabu.
Do you think katika tembea za Kiranja wetu akifa UARABUNI na Emir wa Qatar akamwomba hao TWIGA atakataa?

Kila mwaka wa Saud wanatupa tende bure (Dr Mwinyi mpokeaji) ,nafikiri wakitaka wanyma wetu,watapata tuu!

Tunammiss Mwl.Nyerere,huu ujinga haungetokea!
 
Aisee lini watoto wetu watamaliza kusoma? ili waweze kutusaidia kuendesha hii nchi jamani. Mbona tumeshindwa kila corner? No promis of a better tomorrow...at the end of the day hata nchi zilizo pata uhuru karibuni (soma South Sudan) zitatupita.... Mbona hizi kero kila cku haziishi bandugu....wajuku tutaachia nini....grrr au tuingie msituni tuforce mambo....THIS IS TOO MUCH...
 
Aisee lini watoto wetu watamaliza kusoma? ili waweze kutusaidia kuendesha hii nchi jamani. Mbona tumeshindwa kila corner? No promis of a better tomorrow...at the end of the day hata nchi zilizo pata uhuru karibuni (soma South Sudan) zitatupita.... Mbona hizi kero kila cku haziishi bandugu....wajuku tutaachia nini....grrr au tuingie msituni tuforce mambo....THIS IS TOO MUCH...
Watoto wenu watasoma nini kwenye shule za kata?
 
watabana sana lkn mwisho wataachia, this is escape velocity!
 
Back
Top Bottom