Kumekucha mahakama Kuu ya Arusha, wafungwa wagoma kushuka mpk kieleweke

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Hali ninayoiona hapa mahakama kuu ni kwamba wafungwa wote wamegoma kushuka kwenye karandinga lile la police. Na wanacholenga ni kutaka haki yao isikilizwe. Na wanataka mwandishi wa habari aletwe waweze kueleza haki yao. Nipo hapa mahakamani na nitawajuza.
 
"Ukiona moshi unafuka basi ujue panaungua."
Unajua mimi nahisi Tanzania ni sinema inaandaliwa na washiriki(cast members) ni watanzania wote huku vinara(superstars) wakiwa viongozi wetu hawa malimbukeni.Kila kukicha scripts(matatizo) yanafumuka na kurekodiwa ili kuijaza hii filamu.Mara tatizo la umeme, mara wafungwa wamegoma ,mara wanajivua magamba.Jamani nguvu ya umma ni mimi na wewe mtanzania mwenzangu uliyechoshwa na hii filamu.Tuanze mapambano mpaka kieleweke.
 
dU!
Wengi wao watakuwa madereva wa vifodi ambao waliswekwa majuzi!
Mfumo mzima wa Utawala na Uendeshaji majukumu katika mji wa Arusha una mushkeli!
Hawana pa kuiga, maana baba yao ndiyo hoi taaban!
 
"Ukiona moshi unafuka basi ujue panaungua."Unajua mimi nahisi Tanzania ni sinema inaandaliwa na washiriki(cast members) ni watanzania wote huku vinara(superstars) wakiwa viongozi wetu hawa malimbukeni.Kila kukicha scripts(matatizo) yanafumuka na kurekodiwa ili kuijaza hii filamu.Mara tatizo la umeme, mara wafungwa wamegoma ,mara wanajivua magamba.Jamani nguvu ya umma ni mimi na wewe mtanzania mwenzangu uliyechoshwa na hii filamu.Tuanze mapambano mpaka kieleweke.
Best yani acha tu!
 
Hapa naona wameita landrover na imeiescot ile karandinga na wafungwa wanaelekea mahakama ya wilaya pale Arumeru kutoka hapa mahakama kuu si mbali sana na sitatoka hapa mpaka nijuwe haki ya hawa wafungwa itakuwa vipi. Mmmmhh!
 
Mkuu tulirushie na picha kwa ajili ya kumbukumbu!! Hayo ndiyo madhara ya siasa mbele profesionalism nyuma. Kuna watu wanasota kusomea hizo kazi za mahakama au kulinda wafungwa, lakini kwa vile Tz kila kitu siasa hawa watu hawana thamani tena na hii nchi haiwahitaji.
 
Mkuu tulirushie na picha kwa ajili ya kumbukumbu!! Hayo ndiyo madhara ya siasa mbele profesionalism nyuma. Kuna watu wanasota kusomea hizo kazi za mahakama au kulinda wafungwa, lakini kwa vile Tz kila kitu siasa hawa watu hawana thamani tena na hii nchi haiwahitaji.
Mkuu! Hapa na2mia Nokia N73 inapiga kweli picha nzuri lkn nimeshindwa kuaploading.
 
Hivi jamani wengine tunasubiri nini twendeni tujiunge nao sio mpaka chadema waseme ndiyo tuanzie hapo huenda ndiyo wakati wenyewe sasa LET US JOIN NOW BILA KUJALI ITIKADI NA TOFAUTI ZETU
 
Mpaka sasa karandinga linaelekea Kisongo gerezani. Na hakika hata wale wafungwa (MAABUSU) wa wilayani pale Arumeru wamegoma kuteremka na wameapa ya kwamba watahakikisha hata kesho na kesho kutwa na kuendelea hakuna mfungwa yeyote atakayeletwa hapa mahakamani na akateremka kwenye gari mpaka haki yao ionekane na ni kwmb wanataka wote waliopo humo gerezani kwa miaka sasa,haki zao isikilizwe siyo m2 anakaa tangu 2004 mpk leo kesi inapigwa kalenda mpk 2011,Wameapa hakunaga tena m2 wa kudanganywa ktk dunia hii.
 
Nchi hii kila kitu lazima ukipiganie hata kama ni haki yako. Itafikia wakati sasa Hata umeme uumpiganie
 
Hivi jamani wengine tunasubiri nini twendeni tujiunge nao sio mpaka chadema waseme ndiyo tuanzie hapo huenda ndiyo wakati wenyewe sasa LET US JOIN NOW BILA KUJALI ITIKADI NA TOFAUTI ZETU

Mimi nikiona hivi ninapata faraja kwa maana saa ya ukombozi ndo inakaribia. Sehemu zote ambako, kumetokea mapinduzi ya tawala dhalimu, mabo yalianza hivihivi, na ninachokiona we are moving on the same track. So dear fellow Tanzanians, msife Moyo wakati wa ukombozi ukaribu, Dalili zote zi wazi, ikiwemo viongozi kulewa madaraka kupita kiasi, Viongozi kuchanganyana waokwa wao na kuitana magamba, hali ngumu ya maisha kwa majority of the citizens, Viongozi kutoa kauli zisizokuwa na hata chembe ya hekima na kuonyesha kujali matatizo ya wananchi e.g Mimi siwezi kumwambia mungu anyeshe mvua ili tupate Umeme!! N.K
 
Mimi nikiona hivi ninapata faraja kwa maana saa ya ukombozi ndo inakaribia. Sehemu zote ambako, kumetokea mapinduzi ya tawala dhalimu, mabo yalianza hivihivi, na ninachokiona we are moving on the same track. So dear fellow Tanzanians, msife Moyo wakati wa ukombozi ukaribu, Dalili zote zi wazi, ikiwemo viongozi kulewa madaraka kupita kiasi, Viongozi kuchanganyana waokwa wao na kuitana magamba, hali ngumu ya maisha kwa majority of the citizens, Viongozi kutoa kauli zisizokuwa na hata chembe ya hekima na kuonyesha kujali matatizo ya wananchi e.g Mimi siwezi kumwambia mungu anyeshe mvua ili tupate Umeme!! N.K
yaani wana kera kweli...
 
Mimi nikiona hivi ninapata faraja kwa maana saa ya ukombozi ndo inakaribia. Sehemu zote ambako, kumetokea mapinduzi ya tawala dhalimu, mabo yalianza hivihivi, na ninachokiona we are moving on the same track. So dear fellow Tanzanians, msife Moyo wakati wa ukombozi ukaribu, Dalili zote zi wazi, ikiwemo viongozi kulewa madaraka kupita kiasi, Viongozi kuchanganyana waokwa wao na kuitana magamba, hali ngumu ya maisha kwa majority of the citizens, Viongozi kutoa kauli zisizokuwa na hata chembe ya hekima na kuonyesha kujali matatizo ya wananchi e.g Mimi siwezi kumwambia mungu anyeshe mvua ili tupate Umeme!! N.K
Na bado siku siyo nyingi atampigia Mungu magoti akimwomba anyeshe mvua na atakuwa na adabu kwa muumba ngoja watu tuungane na kuwa kitu kimoja
 
raia wakigoma huwa wanakamatwa na kupeekwa mahabusu, sasa je mahabusu wakigoma wanapelekwa wapi?
 
Back
Top Bottom