Rumi96
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 778
- 1,814
Wakuu habari za wakati huu.
Basi, ikiwa ni hatua za kibinadamu kupita katika nyakati kadhaa, kwenye kila nyanja kuna changamoto.
Wazee wa kusaka nyapu, tumewahi fumaniwa au kufumania.
Binafsi nimewahi kumfumania kaka yangu miaka ya 2012 chumbani kwa beki tatu kipindi shemeji akiwa safari kikazi.
Ilikua hivi, beki tatu nilikua nakula mzigo, mida yangu ya kazi ilikua saa 6 usiku. Nilikua nazuga nasoma kumbe akili yote inawaza K. Basi siku hiyo sikusoma nililala mapema, chumbani kwa housegirl hakukuwa mlango, lilikuwepo pazia.
Nimeshtuka usiku, nikawaza mida ya kazi kumshtua mtoto nipige kazi, basi nikanyata kulelekea chumbani kwake, mara nasikia miguno! Nikaingiwa na wivu, kudadadeki bro anakula demu wangu.
Nikawasha taa, asee bro alikurupuka. Nikazima taa nikasepa usiku sikulala, nawaza bro ametanua njia ya demu wangu. Kesho yake bro hata kunitazama hakuweza, siku moja akaniambia tu, shemeji yako asijue.
Kama umewahi fumania au fumaniwa tupia hapa tufurahi.
Basi, ikiwa ni hatua za kibinadamu kupita katika nyakati kadhaa, kwenye kila nyanja kuna changamoto.
Wazee wa kusaka nyapu, tumewahi fumaniwa au kufumania.
Binafsi nimewahi kumfumania kaka yangu miaka ya 2012 chumbani kwa beki tatu kipindi shemeji akiwa safari kikazi.
Ilikua hivi, beki tatu nilikua nakula mzigo, mida yangu ya kazi ilikua saa 6 usiku. Nilikua nazuga nasoma kumbe akili yote inawaza K. Basi siku hiyo sikusoma nililala mapema, chumbani kwa housegirl hakukuwa mlango, lilikuwepo pazia.
Nimeshtuka usiku, nikawaza mida ya kazi kumshtua mtoto nipige kazi, basi nikanyata kulelekea chumbani kwake, mara nasikia miguno! Nikaingiwa na wivu, kudadadeki bro anakula demu wangu.
Nikawasha taa, asee bro alikurupuka. Nikazima taa nikasepa usiku sikulala, nawaza bro ametanua njia ya demu wangu. Kesho yake bro hata kunitazama hakuweza, siku moja akaniambia tu, shemeji yako asijue.
Kama umewahi fumania au fumaniwa tupia hapa tufurahi.