nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Kweli uelewa wa waandishi wa habari na watangazaji ni tofauti. Leo George Bantu katika jahazi alisema wana ugeni kutoka Kikosi cha Zimamoto, kibonde akamwambia ni Jeshi sio kikosi.
Hivi watangazaji si mnaalikwaga kwenye hafla mbalimbali na Sherehe za kufunga madepo ya Jeshi la Zimamoto, ushasikia ikitambulishwa kama kikosi? Acha mbali na hapo, May 2016 rais alimteua Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, mbona hakusema kikosi?
Hivi watangazaji si mnaalikwaga kwenye hafla mbalimbali na Sherehe za kufunga madepo ya Jeshi la Zimamoto, ushasikia ikitambulishwa kama kikosi? Acha mbali na hapo, May 2016 rais alimteua Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, mbona hakusema kikosi?