Tumeyasema hapa siku zote IKULU na Polisi ndio waliokuwa wanabariki yote hayo sasa nadhani aibu imewashika makanisa kumi nanne kuchomwa katika siku mbili imewasitua wanaogopa dunia itawasema lakini watawapa ruhusa kutenda wayapendayo
Kuna mhadhara mkubwa unarindima kila siku jioni pale mwenge stendi! sio mbali sana kuna kituo cha polisi na wanabariki ukristu kutukanwa......aibu imewashika!
Ikulu inatajwa kuhusika back tangu enzi za Marehemu Dr Omar Ali Juma (aliyekuwa Makamu wa Rais enzi za utawala wa Mkapa), ikaja wakati wa Dr Sheni na sasa hata wakati Dr Bilali. Kuna kitu kinatajwa tajwa kuwa kuna vikundi fulani vya kiislamu vyenye misimamo mikali vinapata direct support from that office. lakini ikitumika pese ya walipa kodi wote. kutajwatajwa huku kunaanzia toka 2003. Kwa wenye kumbukumbu, mnakumbuka Mch Mtikia amewahi kulitamka mahala fulani?
Polisi hawajitengi. Ndiyo wamekuwa walinzi wa mikutano ya mihadha inayofanywa na wakina Mazinge, Sule, Yahya na wenzao. Wamekuwa wakiwaacha kuendelea kutukana imani nyingine bila shida. Kuna wakati walifanya mkutano pale njia panda ya Kigogo kwa sponsorship ya yule mpemba anayekaa jirani na kale kauwanja pamoja na wenzake. Polisi walipokuja, Yahaya aliongeza kuporomosha maneno ya chuki na keheli dhidi ya wakristo na ukristo. Cha ajabu Polisi waliokuwa ndani ya Land Rover-Defender walikuwa wanacheka namwingine akawa anasema mwaga dozi kwa sauti ya kati akijua wote waliopo karibu na ile Defender ni waislamu.
Polisi hao hao wamekuwa wanazuia ama kuivuruga mikutano ya wakristo ambayo inakuwa mahususi kwa ajili ya kufuta uchafu/sumu iliyomwgwa na mikutano ya waislamu. Vikundi vya Biblia ni Jibu ni vikundi vyenye rekodi ya juu kwa mikutani yao kuzuiliwa na Polisi ama kuvurugwa na Polisi. Muulize Mzee Simbaulanga, Mazagaza, L Kobelo ama D Mwankenja watakupa data kamilifu.
Kuna mara kadhaa Mch Mtikila amekuwa akiwasaidia hivi vikundi vya kikristo katika masuala ya kisheria ili Polisi wasiwanyanyase.
Haya polisi na maintelejensia mpo humu Jf, nendeni na mabomu yenu. Si mmesema leo mwisho wa kwenda kinyume cha sheria? Wapo hapo Mwenge stendi. Waulizeni wana kibali cha nani na kwa nini kutukana ukristu kila ifikapo usiku?Hivi navocomment huo mhadhara uko unaendelea cha kushangaza wanahubiri uislamu kwa kutumia BIBLIA.
Hivi navocomment huo mhadhara uko unaendelea cha kushangaza wanahubiri uislamu kwa kutumia BIBLIA.
Sijui waislam wamekokosea nini una chuki mbaya sana wewe ingekuwa amri yako ungewauwa waislam wote tanzania.Wamedekezwa sana hawa ingekuwa mkristo kashika msahafu basi masaburi yangewabana hadi basi
Acha kupotosha, ingekuwa ni kweli wasingeuliwa waislam mwembechai.
Hauwezi kuthibitisha unachoongea, chuki zenu hazifui dafu.
SWALI NINALOJIULIZA; In moment before like this, where was and where is TISS?
achana nae huyo hajui alisemalo mwembechai tumeshasahau ye ndo analeta leoSi uonyeshe wapi niliposema uongo halafu wewe uandike ukweli. Mbona kunishambulia?
Ikiwa unasema "ingekuwa kweli waislamu wasingeuliwa Mwembechai...mi nitakuuliza waliuliwa na nani na nini kilikuwa chanzo?
Hivi pesa wanazopewa waislamu na kwenda hijja kutoka serikalini zinachomolewa fungu lipi na zinapitishiwa ofisi gani? (najua wako wanokwenda hijja kwa pesa zao, hao wengi je?)
Ingia hata youtube video zao za Kukashfu ukristo zimejaa kibao..mi nashangaa sijui kwann?Kuna mhadhara mkubwa unarindima kila siku jioni pale mwenge stendi! sio mbali sana kuna kituo cha polisi na wanabariki ukristu kutukanwa......aibu imewashika!
Sijui waislam wamekokosea nini una chuki mbaya sana wewe ingekuwa amri yako ungewauwa waislam wote tanzania.