Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
- Thread starter
- #41
Weye ndo unayetaka kuupotosha uma kuwa UKAWA ni wopotoshaji. Tamka wazi kuwa maccm ndo wanapotosha uma. Wamepata wapi rasimu hiyo wanayoitetea ya serekali 2?? Au wanafuata tu maneno ya m/kiti wao kuwa 3 zitaleta vita?? Maneno ya kukaririshwa jamani hayana mashiko.
Waacheni wajadili serekali zao 2 lakini kuna siku, watalipa hizi kodi wanazo jilambisha bila matokea. Warudi njia kuu, mchepuko siyo dili. Waache kudharau mawazo mama ya wananchi. Mengineyo yoote ni mchepuko tu. Kama wanataka kupinga rasimu ile ya Warioba, waipinge yoote, wamrudishie Warioba akakusanye upya si wao kutoa za mifukoni na kuwasilisha BMK.
JK kweli anaonewa sana, eti inadaiwa kasema kuwa "tukichagua Serikali 3 nchi itaingia vitani!" Muogopeni Mungu jamani, vibaya hivyo!!