yaani hata hiyo thread ni ndefu siiwezi kuisoma yote...ila uchawi haupo?
yaani hata hiyo thread ni ndefu siiwezi kuisoma yote...ila uchawi haupo?
Dah kwa kweli hapa hakuna ustaarabu uliotendeka....wamemlazimisha bi harusi aingie ukumbini ili wapige menu.....sema bwana harusi nae kachemsha kulikuwa hakuna haja ya kuconfess mbele ya hadhara yote hiyo labda kama ni bongo movie ingependeza.
nini ngumu kueleweka?bado sijaelewa kabisaaa
nini ngumu kueleweka?
omba yasikukute wewe! Hii mambo ni hatari tupu.
yesu yupo pia ni zaidi ya wachawi wote !
mwisho ilikuaje sasa,mbona mmetuacha njia panda,how ever mie siamini km uchawi upo,kama upo nawaruhusu mniloge nishindwe kuiona jf lol....