Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Kama una muda, usikilize uchambuzi yakinifu wa huyu msomi mbobezi. Kumbe ni Tanzania pekee duniani yenye mkataba wa Intergovernmental Agreement na Emirate ya Dubai.
Kumbe mkataba huu hauwezi kuvunjwa, zile disputes zinazoweza kutokea wakati wa utekelezaji wa projects zitakazopelekwa South Africa, haziwezi kuvunja hii IGA. Kumbe IGA hii haitambuliki kimataifa kwani inavunja sheria za kimataifa. Na mengine mengi, msikilize anavyodadavua kitalaam.
View: https://youtu.be/zVfE3P3pzgA
Kumbe mkataba huu hauwezi kuvunjwa, zile disputes zinazoweza kutokea wakati wa utekelezaji wa projects zitakazopelekwa South Africa, haziwezi kuvunja hii IGA. Kumbe IGA hii haitambuliki kimataifa kwani inavunja sheria za kimataifa. Na mengine mengi, msikilize anavyodadavua kitalaam.
View: https://youtu.be/zVfE3P3pzgA