JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Idd Amini Dada alipopigana na Tanzania lengo lake ilikuwa kuchukua kipande cha ardhi toka Tanzania, yaani eneo lote toka mto kagera (pale Kyaka) hadi Mtukula. Leo nashawishika kusema alifanikiwa, na hadi sasa eneo hilo bado lipo Uganda.
USHAHIDI: Kwa sasa mtu huwezi kununua kilo hamsini za mchele pale Bukoba mjini na kuzipeleka Mtukula - Tanzania. Polisi, kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya watakunyang'anya kwa madai kuwa 'unapeleka chakula Uganda'.
Ni ajabu ambayo sitakaa niisahau, hivi ni kwa nini kama kweli nia ni kuzuia uvushaji, barriers zao zisiwe Mtukula badala ya huku ndani kabisa ya Tanzania -Kyaka?
Hawaoni kuwazuia watanzania wa Bunazi hadi Mtukula ku-enjoy what is rightful to Tanzanian ni kuwabagua?
Naomba mwongozo.
USHAHIDI: Kwa sasa mtu huwezi kununua kilo hamsini za mchele pale Bukoba mjini na kuzipeleka Mtukula - Tanzania. Polisi, kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya watakunyang'anya kwa madai kuwa 'unapeleka chakula Uganda'.
Ni ajabu ambayo sitakaa niisahau, hivi ni kwa nini kama kweli nia ni kuzuia uvushaji, barriers zao zisiwe Mtukula badala ya huku ndani kabisa ya Tanzania -Kyaka?
Hawaoni kuwazuia watanzania wa Bunazi hadi Mtukula ku-enjoy what is rightful to Tanzanian ni kuwabagua?
Naomba mwongozo.