njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Asalalaleeee nilijua Sope bin takadin ndoa yake na yanga imefikia patamu kama pwagu na pwaguzi pale walipoyabeba matusi yake kwa karia kuwa ya taasisi lakini sikujua kama ana mamlaka makubwa kiasi hicho huko utopoloni ya kuamua nani asajiliwe na nani asisajiliwe, aiseee asante Barbara kutuondolea hili dubwasha
Haya sasa bin kazumari the voice of voiceless kasema sema suuuuuuuu atoe hizo voice notes.
pwagu na pwaguzi wake
Haya sasa bin kazumari the voice of voiceless kasema sema suuuuuuuu atoe hizo voice notes.