Opticf
Member
- Oct 4, 2012
- 62
- 4
Nashangaa sn ninapomuona mtu kamaliza chuo halaf anajua atapata ajira hatafut wala nn wkt watu wanakaa hd miaka mitatu bila kupata kazi lakin huyo mtu anakuwa na iman kuwa ataitwa tu cku moja. Ukiangalia hajasomea ualim wala udaktar maana kwa cz hzo ndo unaweza ukakaa kusubir upangiwe ki2o bt iman yote unakuwa nayo kuwa nikipata ajira mwaka mmoja tu ntamzid na yule aliyeanza kufanya kaz leo wakat huna uhakika ln utapata kazi. Jaman usione mtu anamaisha mazur ukasema alisubri tu kupata ajir amepitia sehem nying jaman vijana tujitume hapa mm mwenyewe natafuta sana kazi maana kuwa umekaa toka asubuh getho inabore. Tusake maisha vijana kwa juhud na sio kubweteka ni hayo 2