nilipata shida sana jana toka mchana, piga simu zote haziiti, ila nimefanikiwa kuitumia portal yao vizuri leo around saa tano asubuhi..headache kweli ila simu bado haziiti
mwaka wa fedha wa serikali unaanza tarehe moja, mwezi wa saba, ni janja ya TRA kuharibu mtandao hili huo mwaka utufike waanze sijui kuna addition, yani nchi yetu hii ni majanga aisee. nina wiki sasa toka nilipie mzigo wangu yani kupata kibali tu nenda rudi nenda rudi mara mtandao mara sijui mitambo inarekebishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.