Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Hivi kambi ya upinzani imekumbwa na nini? maana viongozi wanaotegemewa kuipeleka puta CCM mwakani katika kinyanganyilo cha urais, wote wanatarajiwa kugombea ubunge.
Viongozi hao ni mwenyekiti wa TLP mh Mrema, Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba na mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe,
Najiuliza ni nani sasa atapambana na Kikwete? au wameona kuwa kikwete ni ngangali? wakati sivyo,
Viongozi hao ni mwenyekiti wa TLP mh Mrema, Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba na mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe,
Najiuliza ni nani sasa atapambana na Kikwete? au wameona kuwa kikwete ni ngangali? wakati sivyo,