Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Nimeangalia tangazo la ITV linaloelezea upatikanaji wake kwenye ving'amuzi mbalimbali na Satelite. Lakini nimestaajabu hawakuitaja Startimes. Najiuliza iwapo ni technical error au imekusudiwa? Je, kuna bifu au ndo kuchokana. Mwenye habari kamili atujuze