Kumekuwa na habari kuwa mgombea wa CHADEMA alikumbushwa kuongelea masuala ya Uchumi. Wapo wanaotumia hii kama silaha ya mashambulizi.
Lakini kwa miaka mitano mambo mbalimbali ya kitaifa yameenda kombo. Mfano mdogo ni mtu kuambia sio rahia na chama cha siasa ambao sio wenye majukumu ya kutoa urahia. Wale waliokuwa wanashabikia, nikikumbuka kwa mfano Katibu wa CCM, nimeona kwenye magazeti anasema mkubwa amepotoshwa na wasaidizi wake.
Kati ya hawa wawili yupi ni BORA!
Lakini kwa miaka mitano mambo mbalimbali ya kitaifa yameenda kombo. Mfano mdogo ni mtu kuambia sio rahia na chama cha siasa ambao sio wenye majukumu ya kutoa urahia. Wale waliokuwa wanashabikia, nikikumbuka kwa mfano Katibu wa CCM, nimeona kwenye magazeti anasema mkubwa amepotoshwa na wasaidizi wake.
Kati ya hawa wawili yupi ni BORA!