niko dsm maeneo ya sinzaUko maeneo gani mkuu.mimi nina kuku hao wa kutosha
Habari zenu wanajamii?
Nina shida ya kuku wanyama wakubwa kuanzia 1.5kg nakuendelea,bei ni maelewano katiyangu na mfugaji.Nahitaji zaid ya kuku 3000kg kwa wiki wakiwa fresh na wameshachinjwa.Tafadhali mwenye nao ani PM no yake.
Habari zenu wanajamii?
Nina shida ya kuku wanyama wakubwa kuanzia 1.5kg nakuendelea,bei ni maelewano katiyangu na mfugaji.Nahitaji zaid ya kuku 3000kg kwa wiki wakiwa fresh na wameshachinjwa.Tafadhali mwenye nao ani PM no yake.