mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
Wadau leo ni siku ya tano, hakuna maji, wala tone kwenye mabomba yetu, na sijasikia tamko lolote la DAWASCO.. Kiukweli hali ni mbaya sana kwa wananchi wa kawaida wa maeneo haya.. Tafadhali DAWASCO tupeni taarifa rasmi ili nikitu gani kimejiri, kwami maji ni muhimu kwa maisha ya kila siku kwa binadamu..