Kukosea kuoa au kuolewa na mtu sahihi unakuja kutesa vizazi vyako

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Jun 3, 2018
726
1,850
Aliyesema kupanga ni kuchagua hakukosea

Kwa mtu anaejielewa sio jambo la kukurupuka anapoamua kuchagua mtu awe Baba wa watoto wake au mtu awe Mama wa watoto wake , ni lazma akae chini asugue akili afanye mahesabu ya kutosha sio ya kwake mwenyewe tu ila hadi ya vizazi vyake anavyotarajia kuvileta Duniani.

Je huyo anaetarajia kuolewanaye ana sifa ya Kuitwa Baba au Je huyo anaetarajia kumuoa ana sifa ya kuitwa mama na kumtunzia Familia. Zingatia maamuzi ya leo ndio matokeo ya kesho
 
Kila mtu apambane na hali yake maana haya mambo hayana fomyula. Na hakuna aliyewahi kumwelewa binadamu. Mtu unamuona waifu matirio anakidhi vigezo vyote ulivyojiwekea kumbe yupo kwenye kampeni, subiri sasa ashike madaraka na kuunda serikali ndiyo utajua hujui.

Chagua mtu unayedhani ni sahihi...halafu upambane na hali yako (kimya kimya!)
 
Kila mtu apambane na hali yake maana haya mambo hayana fomyula. Na hakuna aliyewahi kumwelewa binadamu. Mtu unamuona waifu matirio anakidhi vigezo vyote ulivyojiwekea kumbe yupo kwenye kampeni, subiri sasa ashike madaraka na kuunda serikali ndiyo utajua hujui.

Chagua mtu unayedhani ni sahihi...halafu upambane na hali yako (kimya kimya)
"
kwenye kampeni, subiri sasa ashike madaraka na kuunda serikali ndiyo utajua hujui."
 
Kila mtu apambane na hali yake maana haya mambo hayana fomyula. Na hakuna aliyewahi kumwelewa binadamu. Mtu unamuona waifu matirio anakidhi vigezo vyote ulivyojiwekea kumbe yupo kwenye kampeni, subiri sasa ashike madaraka na kuunda serikali ndiyo utajua hujui.

Chagua mtu unayedhani ni sahihi...halafu upambane na hali yako (kimya kimya!)
Sipingani na wewe lakini pia Kuchuja na kuchunguza tabia ya mtu ni muhimu kabla ya yote tofauti tu ukienda kichwa kichwa na hutakiwi tu kuchunguza tabia ya huyo mke au mume pekee ni vzr kunusa hata tabia za ndg zake ukoo ambao anatokea wakoje
 
Aliyesema kupanga ni kuchagua hakukosea

Kwa mtu anaejielewa sio jambo la kukurupuka anapoamua kuchagua mtu awe Baba wa watoto wake au mtu awe Mama wa watoto wake , ni lazma akae chini asugue akili afanye mahesabu ya kutosha sio ya kwake mwenyewe tu ila hadi ya vizazi vyake anavyotarajia kuvileta Duniani.

Je huyo anaetarajia kuolewanaye ana sifa ya Kuitwa Baba au Je huyo anaetarajia kumuoa ana sifa ya kuitwa mama na kumtunzia Familia. Zingatia maamuzi ya leo ndio matokeo ya kesho
Kwani hili jambo wazazi waliwezaje kugumdua watu wanaoambatana nao katika safari yenye Amani kwenye Maisha Yao ijapokua kulikua na marumbano ya apa na pale wanadundana kwer kwer lakni mtu haondoki kwani walikua wakiamini hilo ndilo chaguo lao sahihi
 
Aliyesema kupanga ni kuchagua hakukosea

Kwa mtu anaejielewa sio jambo la kukurupuka anapoamua kuchagua mtu awe Baba wa watoto wake au mtu awe Mama wa watoto wake , ni lazma akae chini asugue akili afanye mahesabu ya kutosha sio ya kwake mwenyewe tu ila hadi ya vizazi vyake anavyotarajia kuvileta Duniani.

Je huyo anaetarajia kuolewanaye ana sifa ya Kuitwa Baba au Je huyo anaetarajia kumuoa ana sifa ya kuitwa mama na kumtunzia Familia. Zingatia maamuzi ya leo ndio matokeo ya kesho
ndoa ndoano,
Umakini ni jambo muhimu zaidi.

La sivyo usipo vua atavuliwa kama samaki.....
 
Tena usiache kumshirikisha Mungu...

Ili aweze kukusaidia kupata mke/mume wa agano lako...

Usiombe ukaolewa au oa na mtu asiyechaguo lako Toka kwa Mungu...

Utateseka si wewe tu na kizazi chako...

Hayo mapito yasikie tu. I have seen watu wangu wa karibu wakipoteza iman na maisha bada ya kutoka huko. They completely went spiral. It took time kuwarudisha ktk uhalisia
 
Acheni Mambo ya kijinga, hakuna garantii ya kuwa na maisha Bora kwa vile tu umezaliwa na "watu Bora"
Diamond alikataliwa na baba yake,Leo yupo wapi? Wengine wazazi walituacha tukiwa wadogo, maisha yetu ya shule ya msingi, yalikuwa ya kubangaiza, kutembea kilometa 10 kila siku, wazazi walikuwa ni ugomvi usioisha, leo hii ukiniona watoto wangu wana fatwa na Vogue Range Rover, shule, unaweza ukafikiri, natoka familia ya samia, future yako ya maisha haiamuliwi na maisha ya wazazi wako, au familia, pekee, zipo factors kibao, zinaweza badilisha kila kitu, kuzaliwa maskini, sio kosa lako,Ila kufa maskini ni kosa lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom