payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Hivi ile sheria iliyotungwa kumkandamiza mwanaume anapomkonyeza mwanamke ilikuja ishia wapi?
Wadada mtusaidie je, nikweli kwamba mwanaume akikukonyeza anaamsha hisia/mshawasho wa kimapenzi?
Nilipokuwa ughaibuni ....kwenye nchi ile kukonyezana ilikuwa jambo la kawaida mno!!!!!
Wadada mtusaidie je, nikweli kwamba mwanaume akikukonyeza anaamsha hisia/mshawasho wa kimapenzi?
Nilipokuwa ughaibuni ....kwenye nchi ile kukonyezana ilikuwa jambo la kawaida mno!!!!!