Kukamatwa kwa bombardier yetu, nahisi lina uhusiano na makinikia ya Acacia.

bigmash

JF-Expert Member
Apr 8, 2017
416
421
Wanajamii,

Hii habari kwamba ndege yetu imekamatwa huko Canada kwa sababu serikali yetu inadaiwa kuja hivi sasa wakati majadiliano ya makinikia yakiendelea kuna muunganiko mkubwa Sana.

Kwanza kampuni ya Acacia ipo Canada, ndege yetu inatengenezwa Canada, kampuni inayoidai serikali yetu baada ya kuvunjiwa mkataba pia ni ya Canada. Kwa vyovyote vile hawa jamaa wa Canada wameshirikiana kwa hili jambo ili kukwamisha ujio wa ndege yetu.

Nawakilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamii,
Hii habari kwamba ndege yetu imekamatwa huko Canada kwa sababu serikali yetu inadaiwa kuja hivi sasa wakati majadiliano ya makinikia yakiendelea kuna muunganiko mkubwa Sana. Kwanza kampuni ya Acacia ipo Canada, ndege yetu inatengenezwa Canada, kampuni inayoidai serikali yetu baada ya kuvunjiwa mkataba pia ni ya Canada. Kwa vyovyote vile hawa jamaa wa Canada wameshirikiana kwa hili jambo ili kukwamisha ujio wa ndege yetu.
Nawakilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakojoe ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu akienda nchi za watu anaweza akawekwa kizuizini. Nashauri aendelee kumtumia yule mama

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Wanajamii,
Hii habari kwamba ndege yetu imekamatwa huko Canada kwa sababu serikali yetu inadaiwa kuja hivi sasa wakati majadiliano ya makinikia yakiendelea kuna muunganiko mkubwa Sana. Kwanza kampuni ya Acacia ipo Canada, ndege yetu inatengenezwa Canada, kampuni inayoidai serikali yetu baada ya kuvunjiwa mkataba pia ni ya Canada. Kwa vyovyote vile hawa jamaa wa Canada wameshirikiana kwa hili jambo ili kukwamisha ujio wa ndege yetu.
Nawakilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli kukamatwa kwa ndege kuna act kama distraction kwa nchi ili umakini katika mazungumzo upungue plus kasuku huyu alieko nje ya cage ndio balaaa, wahusika wakae chonjo.

"the highest risk should give maximum profit"
 
makinikia ni suala moja......kuvunja mkataba na wakanadarasi na kushindwa kesi mahakamani ni jambo la pili....

HIVYO

1.NGOSHA amesababisha kitega uchumi chetu kizuiwe Canada na kututia hasara... (deni bilioni 87 na pesa tulizopoteza kwa kuchelewa kufika kwa ndege yetu)

2. NGOSHA ameturudisha nyuma katika kupigania rasilimali zetu hasa madini, kwani mabepari wanaitumia hii situation kuonyesha kuwa TANZANIA huwa inakurupuka
 
Nasikia mikutaniko ya hadhara kupeana taarifa imezuiwa. Na ile iliyoruhusiwa wanapangiwa cha kuongea ili serikali isieleweke vibaya kwa wasikilizaji.

Najiuliza hivi hii mikutaniko ingekuwa ruksa
Wasemaji wakuu wasingepangiwa cha kusema, tungesikia mangapi?

Haya machache yanasumbua kiasi hiki?
Kumbe aliyezuia mikutaniko alijua waTz wana uelewa mkubwa na kubwa kuliko yote.
Tanzania sio kisiwa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom