Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Akiongea na gazeti la mwananchi katibu mwenezi wa CCM Nape Amekanusha kuwepo kwa ajenda ya kuufuta umoja huo katika vikao vya chama huko Dodoma. Nionavyo, kwa hali ilivyo hivi sasa katika chama hicho hilo haliwezekani. Kuufuta umoja huo ndio itakuwa tiketi ya kukipeleka chama hicho kaburini.