Dadio JF-Expert Member Mar 14, 2012 359 42 Jul 15, 2014 #1 Wadau tafadhali mwenye taarifa kuhusu kuitwa kazini na tume ya utumishi wa mahakama atujuze tafdhali..
Wadau tafadhali mwenye taarifa kuhusu kuitwa kazini na tume ya utumishi wa mahakama atujuze tafdhali..
Safety last JF-Expert Member Mar 24, 2011 4,227 1,389 Jul 15, 2014 #2 mbona wametoa tena nafasi .halafu walikuwa wanapiga simu kuita watu kwenye interview mlipomaliza nyie
mbona wametoa tena nafasi .halafu walikuwa wanapiga simu kuita watu kwenye interview mlipomaliza nyie
Dadio JF-Expert Member Mar 14, 2012 359 42 Jul 15, 2014 Thread starter #3 Ndyo wametoa nyingine 300 lakn za awali hawajaiata watu kazini.