Kuitangaza Tanzania

Ghost

JF-Expert Member
Apr 20, 2010
428
53
Habari zenu ndugu,

Jana nikiwa naangalia CNN, I saw an advert of Kenya (kuna sehemu wanaonyesha Mt. Kili); na nakumbuka kuona matangazo za nchi tofauti katika mega media channels of the world kama Al Jazeera, BBC n.k..

Sasa swali langu ni je Serikali ya Tanzania where do they advertise the country.

Remember some countries have several ways of advertising their nation eg, Kenya na Ethiopia wana KQ/ET, Long distance runners (Marathon, 1500mts, 800mts etc)..all this can be a way to advertise a nation....hapa kwetu hatuna shirika la ndenge, wala wanariadha wanaojulikana/kutambulika ulimwenguni....

Nawakilisha...:A S cry:
 
niliona uzinduzi wa matangazo ya tanzania katika mabasi na taxi za london, pia cnn, na kuna mabalozi wa hisani katika nchi mbali mbali, tanzania nayo labda ina bahati yake, katika pitapita zangu nimegundua wachina wanasaidia sana kutangaza vivutio vyetu na wanafanya nchi yetu inajulikana pia, CHINA NA TOP 3 world tourist destinations na pia ni top tourist generating country( watu wake wanenda kutalii nchi nyingine) pia utalii wake wa ndani ni active na kila mtu ana knowledge ya kutalii, nimekaa hapa miaka sita nina experience , sasa basi kuna mchango wa wachina walio nchini na wale wanaokuja tanzania kutalii, wengi huwa wanapiga picha na kuja kufanya maonyesho mbalimbali, na wana vikundi mbalimbali vyenye hobby za kusafiri, ambazo baada ya maonyesho watu wengi zaidi huwa na ufahamu na kutaka kusafiri, amini usiamini wachina wengi wanadhani afrika ni jangwa, hakuna maji, na ni joto kama jehanamu na wanaamini waafrika ni weusi kwa sababu ya kuungua jua
sasa angalia tu mifano ya jinsi wanavyosaidia, hii ni bure hawajalipwa ni shughuli zao zinasababisha na vivutio vyetu vijulikane, wengi hawamini hii ni afrika yenye kijani kibichi, fuko nzuri za bahari nk
angalia post hii katika blog huyu ana series utakuta kaaznia moja mpka mwisho, picha hizi kaanza kuonyesha 2010, na bado anaendelea, utakuta kila post watu kuanzia 7960, nk na pia comments zaidi ya 150, na watu wanafoward hizi picha kwenda kwenye mitandao mingine
gonga hapa http://blog.sina.com.cn/s/blog_5e74244b0100mkwr.html na hapa http://blog.sina.com.cn/u/1584669771
huo ni mfano tuu, kwa chini zaidi unaweza kuangalia idadi ya watu waliosoma na kucomment. msela kamsifia sana tour guide jonathan, hongera kaka, umengara huku.
kwa kuonyesha mfano pia kama mtanzania at least nifanye chochote kwa nchi yangu, na sio kulalamika na kuachia mafisadi kila kitu, siku hizi hata kama sio kosa lao ni mafisadiiiii tuuu ndio rythim ya maisha ya bongo sasa hivi, mimi nimeandika na kuonyesha upande mwingine wa nchi yetu, ambao wengi hawakugusa, utalii sio wanyama na milima peke yao, watu wa tanzania pia ni kivutio kikubwa sana, hebu cheki makabila 12ona kitu, pia misosi, yaani you name it
hizi zangu
http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100qgfx.html na hapa http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100p617.html
http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100owgh.html enjoy
 
gonga hapa http://blog.sina.com.cn/s/blog_5e74244b0100mkwr.html na hapa http://blog.sina.com.cn/u/1584669771
http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100qgfx.html na hapa http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100p617.html
http://blog.sina.com.cn/s/blog_72f779410100owgh.html enjoy:happy:


samahani kama lugha italeta vikwazo ila nimeweka tuu kama reference, picha nadhani zitaonekana ila kichina katika computer hambazo hazisupport asian languages zitakua mabox mmatupu. najaribu kueleza kuwa kuna vitu vingi sana vinafanyika ila tuu hatujui na taarifa hazisambazwi vizuri, pia sio lazima kujua kila kitu, teh teh, vingine labda ni siri
 
You don't have to be Mother Theresa to make a change, you can do things as little as posting information on any public forum. ukiangalia jamii photo vitu ambavyo watu wengi wanaost na kujadili ni burudani na picha za ajabu ajabu, na ndi zina hit kuliko vitu vingine, simaanishi watanzania hawana haki ya kufurahia maisha yao jinsi wanavyotaka ila nini uhakika mataifa mengine pia huangalia topic zetu pale na kuna tofauti sana na vijana wa mataifa mengine wanavyofanya, kuna forum kama ssc
tanzania tourism
http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=803392&page=16
ttp://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1350433&page=3, ambazo ni international na watu wengi huangalia , tumekua tukiwaomba mjiunge ili kutangaza nchi yetu kwa kupost chochote tu kuhusu tanzania lakini wapi, tumeweka ujumbe huhmu humu JF, blog za watanzania, response ni ya kutia tamaa. at least do something for your country than just complaining, ukijadili ufisadi na siasa humu jf hata kama utavua nguo na kuikemea computer yako, hutobadilisha chochote zaidi ya kujiathiri kiakili na kiafya maana nina uhakiaka utapata madhara tuu, mojawapo ni haya ya kukata tamaa, kuvunjika moyo na kukosa imani na nchi yako, mwisho utakua adui wa nchi yako na utajiunga tuuu na makundi yaugaidi dhidi ya nchi yako
 
Ndinda hapo kweli umenena...Tumezidi kulalama..It's time sisi wenyewe tujenge nchi yetu badala ya kulialia kila cku.
You don't have to be Mother Theresa to make a change, you can do things as little as posting information on any public forum. ukiangalia jamii photo vitu ambavyo watu wengi wanaost na kujadili ni burudani na picha za ajabu ajabu, na ndi zina hit kuliko vitu vingine, simaanishi watanzania hawana haki ya kufurahia maisha yao jinsi wanavyotaka ila nini uhakika mataifa mengine pia huangalia topic zetu pale na kuna tofauti sana na vijana wa mataifa mengine wanavyofanya, kuna forum kama ssc
tanzania tourism
http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=803392&page=16
ttp://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1350433&page=3, ambazo ni international na watu wengi huangalia , tumekua tukiwaomba mjiunge ili kutangaza nchi yetu kwa kupost chochote tu kuhusu tanzania lakini wapi, tumeweka ujumbe huhmu humu JF, blog za watanzania, response ni ya kutia tamaa. at least do something for your country than just complaining, ukijadili ufisadi na siasa humu jf hata kama utavua nguo na kuikemea computer yako, hutobadilisha chochote zaidi ya kujiathiri kiakili na kiafya maana nina uhakiaka utapata madhara tuu, mojawapo ni haya ya kukata tamaa, kuvunjika moyo na kukosa imani na nchi yako, mwisho utakua adui wa nchi yako na utajiunga tuuu na makundi yaugaidi dhidi ya nchi yako
 
Habari zenu ndugu,

Jana nikiwa naangalia CNN, I saw an advert of Kenya (kuna sehemu wanaonyesha Mt. Kili); na nakumbuka kuona matangazo za nchi tofauti katika mega media channels of the world kama Al Jazeera, BBC n.k..

Sasa swali langu ni je Serikali ya Tanzania where do they advertise the country.

Remember some countries have several ways of advertising their nation eg, Kenya na Ethiopia wana KQ/ET, Long distance runners (Marathon, 1500mts, 800mts etc)..all this can be a way to advertise a nation....hapa kwetu hatuna shirika la ndenge, wala wanariadha wanaojulikana/kutambulika ulimwenguni....

Nawakilisha...:A S cry:

Sioni km ni issue wakitangaza Mt. Kilimanjaro kwa fund yao na akili yao yote halafu tukakaza entry hadi watoe kil asent tunavyohitaji.
 
hii kitu haijaanza leo
na wala hili swala halitaisha kesho
Ni mgogoro wa kimaslahi(UTALII)
ni hivi.........wakenya kwenye miaka ya sabini na semanini wali encourage utalii unaoitwa (MASS TOURISM) maana yeke nini waliruhusu watalii wengi watembelee vivutio vyao kwa wingi bila kuangalia uwezo wa eneo husika ( carrying capacity)..kumbuka hii ilienda sambamba na ujenzi wa mahoteli,tented camps nk kwenye hifadhi zao).....madhara yake ninini......vivutio vingi kama sio vyote vya Kenya vimepoteza uleuzuri wake wa asili ( naturalness)..........................impact yake ni nini........Watalii wa siku hizi......sio wale wa miaka ya sabini......ni wasomi....waelewa...na wengi wako so attached to nature.......( ndio maana baada ya Rio summit kuna eco..tourism, sustainable tourism,,,nature, based tourism..nk....zipo za aina nyingi hata nikiandika sitamaliza)...aina mpya ya utalii ...( tourism activities which bring minimum impact to the environment with huge economic benefits to the host community).............kwa mijili hiyo..........vivutio vingi vya Kenya vimeshapoteza ule uzuri wake wa asili......na watalii wengi hawavutiwi navyo......wanachokifanya nini?...............ni kutangaza Kilimanjaro...Serengeti ipo Kenya......impact yake kimapato ni ndogo saana.....kwani wageni wato wakiingia Tanzania wanapitia kwenye mipaka halali.....ndani ya mpaka mgeni kama anajua kusoma na kuandika atajua anaingia NCHI HURU INAYOITWA TANGANYIKA.....aibu ni kwa waliowaleta na kuambiwa hivyo vivutio vipo kwao kwani taratibu za kupanda Mt. Kilimanjaro na kuingia serengeti ni za Tanganyika na ma guide ni Watanganyika ...............tunachokipoteza ni zile dola chache zanazotomika pale airport na wakati wageni wapo njiani..............KWAKUWA hatuna NATIONAL CARRIER ambayo ingetuconect na tourist generting countries wageni kupitia Kenya kwa miaka mingi ijao HALIEPUKIKI.....CHA MSINGI TUZUIE NJIA ZA PANYA TU..............kwa hapo hope utapata mwanga....................
 
Back
Top Bottom