mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Natoa rai wakuu ianzishwe thread special huku JF ya kuipongeza na kuisifia serikali na nyingine ya kuikosoa serikali.
Inanichanganya kuona kila post ina comments za kuiponda serikali ina maana hakuna mazuri yanayofanywa? Kama ni kweli basi hali ingekuwa mbaya sana kungekuwa na vita saa hizi kama Somalia, so tuache unafiki ukumbi wa kuipongeza serikali pia uwepo ili mazuri iliyotufanyia tuyaweke wazi na watu watume post zao huko.
Mods wazitoe post za watu watakaoenda kinyume ktk post zao maana kila siku post ni za kuiua tu serikali khaaa!!!!!!!!! Hata Mungu anajua kuwa kuna mazuri yanayofanywa na atawahukumu kwa unafiki wetu tunaouonyesha kuwa hakuna jema hata moja lililofayiwa na serikali; yaani siku nzima post zinatumwa na watu juu ya kuiponda/kuichafua/kuizandiki/kuidhalilisha/kuishirangia/kuilaani/kuinyanyapaa serikali yao kana kwamba waliounda serikali ni machizi hawana akili hata moja hivi hii ni haki kweli!
Wewe hapo uanashangaa nini wakati kutwa kutuma post za kuilaani serikali ya nchi yako..kama kusingelikuwa na mazuri we ungekuwa wapi saa hizi? Jiulize, naam jibu unalo!!
Inanichanganya kuona kila post ina comments za kuiponda serikali ina maana hakuna mazuri yanayofanywa? Kama ni kweli basi hali ingekuwa mbaya sana kungekuwa na vita saa hizi kama Somalia, so tuache unafiki ukumbi wa kuipongeza serikali pia uwepo ili mazuri iliyotufanyia tuyaweke wazi na watu watume post zao huko.
Mods wazitoe post za watu watakaoenda kinyume ktk post zao maana kila siku post ni za kuiua tu serikali khaaa!!!!!!!!! Hata Mungu anajua kuwa kuna mazuri yanayofanywa na atawahukumu kwa unafiki wetu tunaouonyesha kuwa hakuna jema hata moja lililofayiwa na serikali; yaani siku nzima post zinatumwa na watu juu ya kuiponda/kuichafua/kuizandiki/kuidhalilisha/kuishirangia/kuilaani/kuinyanyapaa serikali yao kana kwamba waliounda serikali ni machizi hawana akili hata moja hivi hii ni haki kweli!
Wewe hapo uanashangaa nini wakati kutwa kutuma post za kuilaani serikali ya nchi yako..kama kusingelikuwa na mazuri we ungekuwa wapi saa hizi? Jiulize, naam jibu unalo!!