Heshima yenu wakuu.
Nina shida ya kupata mkopo lakini nimekosa sifa ya kupata katika benki zetu. Benki ya NMB mshahara wangu haupiti huko hivyo nimekosa sifa, CRDB ambako ndiko mshahara wangu unapitia wameniambia kuwa hawana mkataba na mwajiri wangu.
Naombeni mnipe uzoefu wenu kama taasisi nyingine zinazotoa mikopo kama BAYPORT, FAIDIKA, FINCA zinaweza kunikopesha, na kama mkopo wao haumuumizi mkopaji.
Asanteni.
Nina shida ya kupata mkopo lakini nimekosa sifa ya kupata katika benki zetu. Benki ya NMB mshahara wangu haupiti huko hivyo nimekosa sifa, CRDB ambako ndiko mshahara wangu unapitia wameniambia kuwa hawana mkataba na mwajiri wangu.
Naombeni mnipe uzoefu wenu kama taasisi nyingine zinazotoa mikopo kama BAYPORT, FAIDIKA, FINCA zinaweza kunikopesha, na kama mkopo wao haumuumizi mkopaji.
Asanteni.