Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Wana CCM na watawala hawafikiri vizuri, mawazo yao ni kutawala milele lakini wanasahau wanaoamua ni wananchi kuwapa ridhaa hiyo.
Wanataka katiba itakayowabeba. Siku chama cha upinzani ikishinda itakuwaje ? watalalamika ? Hiyo katiba itatumika kuwabania.
Mimi ninahamu kubwa wamalize shimo hilo. Kwa hali inavyokwenda huku mitaani CCM ina wakati mgumu uchaguzi wa 2015.
Wanataka katiba itakayowabeba. Siku chama cha upinzani ikishinda itakuwaje ? watalalamika ? Hiyo katiba itatumika kuwabania.
Mimi ninahamu kubwa wamalize shimo hilo. Kwa hali inavyokwenda huku mitaani CCM ina wakati mgumu uchaguzi wa 2015.