KUHUSU Katiba ya CHADEMA, ufafanuzi huu hapa; watoa tuhuma hawana hoja, walete nyaraka

Ofcourse, ndiyo maana wameiasi CCM mchana kweupe. Kasema Njelu Kasaka vizuri kabisa, leo hii ukiwa wananchi wanashangilia wapinzani na kuzomea CCM.


Leo hii Watanzania wanafurahia kuona wasiokuwa na sauti, wanasemewa bungeni na nje ya bunge. Watanzania wa leo si wa miaka hiyo kama ulivyosema, ndiyo maana wanaweza kumuuliza Kinana kwenye mkutano wa hadhara, kuhusu tuhuma za yeye na viongozi wenzake waandamizi, wakiwemo waNEC, kushiriki ujangili na kumaliza rasilimali zetu (ref. Ruaha).

Watanzania wa leo wakienda baa, ile bia ya 'Ndovu', wameipatia jina zuri la kiongozi mmoja wa CCM anayetuhumiwa kumaliza tembo kwenye mbuga zetu.

Umesema kweli kabisa. Watanzania wa leo wameijua kweli. Wanatekeleza wosia wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.

Turudi kwenye hoja. Katiba ya CHADEMA ndiyo hiyo ya mwaka 2006. Karibu.

Kila kitu kipo wazi kaka Makene,huwezi mridhisha kila mmoja.Tumepewa akili za kufikiri na za kiutambuzi,ikiwa watu hawatambui upeo wao wa kufikiri utapasua kichwa bure.Jambo jingine yapaswa ujue kuwa unabishana na watu wa aina gani,kama una bishana na Mtani wa CDM hakika utapasua kichwa pia.Cha msingi tusubiri ushahidi utakaoanikwa wazi hiyo kesho then tutahoji kutokana na ushahidi huo.
 
Subiri mchezo unaandaliwa utazipata nyaraka zote unazozidai kwenye Press Conference! Tanzania Yetu is so nausiated!

Hizi delay delay hizi nahisi jamaa wanaweza kuwa wanapika mambo, unawezaje kutokuwa na katiba mahala pa ukaribu? Minutes za katiba kwa nini zisiwe karibu?

Kwa sisi ma-auditor tayari tumesharipot "Limitation of Scope".
 
Sasa wewe ZeMarcopolo huna mahusiano na Chadema povu lote la nini si uende Lumumba ukasome Katiba ya CCM na uikosoe kuliko kukosoa Katiba za watu husiokuwa na maslahi nao. Umeambiwa kuna Katiba mpya ya 2006 wewe povu linakutoka utafikiri ulihusika kutunga katiba ya Chadema. Ndio maana wanasema pili pili husiyokula yakuwasha nini?
Makene,

Wakati mwingine kuomba radhi ni busara zaidi kuliko kujitetea.

Mtu aliyejinyea hata akikataa nzi watamuumbua.
 
Kuweka kipingi cha ukomo sio kuonyesha kuwa hiyo ni demokrasia Bora. Ubora wa demokrasia ni uchaguzi huru na wa haki. Maana kama kiongozi hafai hata akigombea tena hatachaguliwa.
Hivi kwa CCM yenye ukomo,Kikwete akimaliza muda wake wa vipindi viwili kisha nafasi ya kugombea Uenyekiti Taifa wakajitokeza Kapteni John komba na Lusinde pekee sii wanaCCM mtatamani katiba ingeruhusu Kikwete aendelee na kusiwe na ukomo wa vipindi viwili?
Hoja ya ukomo sii hoja nzito kama uchaguzi unakuwepo unaowapa wanachama kumchagua kiongozi bora. Na ni ukweli uusiopingika kuwa kwa sasa mwenyekiti wa Chadema aliyepo anao uwezo wa kuendelea kupambana na ADUI WA NCHI HII CCM. Lakini hata hivyo hayo yatakuwa matakwa ya wanaChadema sio wanaCCM kama wanavyotaka kulazimisha eti Chadema iwe remote controled from Lumumba. KAMWE HILO HALITATOKEA. NA HAPA WANAPOTEZA NGUVU ZAO BURE


Kaazi kweli kweli,

Kwa mantiki hiyo basi,kama watakuwa wanafaa ni ruksa tuh kukaa madarakani milele hadi pale watapoona wao inatosha??

Ndiyo demokrasia na mabadiliko tunayoyapigania hayo??
 
Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.

Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Mdogo wangu mbona wewe harakati zako unaendesha kilagai. Je unafikiri unaipenda ccm na kuitetea maovu yake yote kwa nia njema na kwa sababu una mapenzi mema na mzalendo kwa ccm. Hapana nina shaka na wewe upo kwa maslai ya uchumia tumbo tu. Nyie pigeni kelele za kutosha mitandaoni kila kukicha kwa sababu ya buk7 ila sisi watanzania na walala hoi tuna mapenzi na cdm na tunamini ndyo mtetezi wa wanyonge..mungu ibariki cdm na viongozi wake.
 
Yaani na wewe umeridhika na huu ufafanuzi?

Jibu maswali haya kama ufafanuzi huu unekutosha,
1. Je, kifungu kilikuwepo kwenye katiba ya 2004.
2. Je, wajumbe walikijadili mwaka 2006?
Hata kama kilikuwepo, katiba ya 2006 ni mpya get it na sio lazima kila kilichokuwa kwenye katiba ya 2004 kiwekwe kwenye katiba ya 2006.

Leo tunaandika katiba mpya ya nchi katiba mpya ikiwa na kipengele cha serikali tatu utauliza mbona kipengele cha serikali mbili hakipo, be great bhana acheni ushamba.
 
Hawawezi kumwita makao makuu wakayamalize kwa sababu kwa mujibu wa maelezo ya Tumaini Makene , hili ni tatizo dogo kama mbu na linakuzwa kama mlima wakati ni kichuguu halafu kuonyesha kama ni tatizo dogo, anatumia zaidi ya paragraph 21 kulitolea ufafanuzi.

Naona Tumaini Makene amesahau kwamba vijidudu vidogo vidogo huwa ni hatari kwani hata sisimizi huweza kumuua tembo!

 
Last edited by a moderator:
Hii ni version ya tatu.

Version ya kwanza ya Slaa inasema kifungu hicho hakijawahi kuwepo kwenye katiba.

Version ya pili Mnyika anasema kifungu hicho hakikujadiliwa, iliandikwa katiba mpya.

Version hii ya tatu inasema kifungu kinejadiliwa na wajumbe wa mikoani ndio walitaka kiondolewe.

Kaeni chini mje na kauli moja.

Cc Pasco MwanaDiwani Ritz Nguruvi3 JokaKuu

Wewe mtu wa MAPAPAI iweje uwasemee watu wa MAEPO?
 
Hii nimeikuta kule...
cdm.jpg
 
Mkuu, tatizo la CHADEMA linatokana na baadhi ya wafuasi na wanachama wake kuendekeza sana Mapenzi kwa Mbowe na Slaa badala ya kuangalia mustakabali nzuri wa chama chao
Kama nyie mnvyoendekeza mapenzi kwa Dhaifu wakati kashindwa kuongoza nchi.
 
Wasiwasi wa watu ni kwanini kifungu cha UKOMO WA UONGOZI kiliondolewa ikiwa siku zote Chadema imekuwa ikipigania demokrasia bora?
Kama unafikiri demokrasia bora kuwa na ukomo wa uongozi basi tungeiona ndani ya CCM.
 

Naona Tumaini Makene amesahau kwamba vijidudu vidogo vidogo huwa ni hatari kwani hata sisimizi huweza kumuua tembo!

Siamini kama amesahau au hafamu kuwa wasipotibu kidonda kuna hatari ya kuota kidonda ndugu.

Nimeshangaa sana kauli za viongozi wa juu kabisa wa chama kutofautiana kwa swala ambalo ni kiini cha chama ambacho katika hicho, ndiyo CHADEMA inaposimama kwenye shughuli zake za kila siku.

Jibu lake liko upfront lakini kwa vile kuna wingu zito inawachukua paragraph zaidi ya 21 kulitolea ufafanuzi ambao pia haujiridhishi kimantiki.
 
LEMA ana akili sana kuliko mtoa mada(utetezi) kwa kutaka kumpoteza mwigamba kwa tofari,maana alishaona moto wa mwigamba ulikua hauna jibu zuri la kaweza kuuzima kipropaganda zaidi ya TOFARI

Mkuuu hapa uko sahihi kabisa LEMA alitaka kumresitisha inpisi Mwigamba ili kupoteza ushahidi hadi hapa ilipofikia hakuna mwenye majibu sahihi kuhusu hili na hapa ni hoja moja zile nyingine na zenyewe bado hazijapata majibu
 
Kama unafikiri demokrasia bora kuwa na ukomo wa uongozi basi tungeiona ndani ya CCM.

hatuwezi kuwa na mbadala wa CCM wakati kila kitu tunakopi kutoka ccm kama kweli Chama kiwe mbadala wa CCM lazima sera zake ziwe tofauti na za CCM tofauti na hapo hakuna haja ya kuiondoa CCM tukaweka CCM nyingine ya kichina
 
CHADEMA ni taasisi, habari ya kumsema mzee Mtei ni kwa maslahi yako na utabaki na huo wimbo.

Leo hii tunaona matunda ya kutokuwepo kipengele cha ukomo, ccm wangeweza kuitumia kuivuruga chadema!

Unapotengeneza jambo you have to look at the bigger picture.... Thanks kwa wajumbe walioliona hili

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kweli Mungi wajumbe waliona mbali sana nafikiri walijifunza toka NCCR na TLP nawapa big up sana,

CCM walisubiri kipindi cha uchaguzi ili waingize ajenda zao ndio maana wamechanganyikiwa eti wanajifanya kutetea demokrasia ndani ya Chadema, huu ni zaidi ya unafiki.
 
Last edited by a moderator:
Kaazi kweli kweli,

Kwa mantiki hiyo basi,kama watakuwa wanafaa ni ruksa tuh kukaa madarakani milele hadi pale watapoona wao inatosha??

Ndiyo demokrasia na mabadiliko tunayoyapigania hayo??

mkuu hapa maana yake ni kwamba chama kina viongozi wawili tuu na wakifa leo na CHADEMA nayo imaelekea kaburini hapa maana yake ni kwamba akina Kitila Mkumbo profesa Baregu profesa Safari Lissu hao mi viranja tu hawanqa chochote hawaaminiki wote ni mamuliki
 
Last edited by a moderator:
Tick tack! Kumbe mambo ya mabadiliko ya katiba si mchezo! Kuanzia katiba za vyama hadi katiba ya nchi.

Hawa si wamuite Mwigamba na wenzake makao makuu ya chama wayamalize na kama ni kifungu hicho kuwekwa kiwekwe kwa hati ya dharura!!
It is not as simple as you think, kipengele hakibadilishwi na Mwigamba ndio mwisho wake ndani ya Chadema kama ilivyokuwa kwa Kafulila, mark my word.

Ukomo wa kugombea ni undemocratic, hivi CCM iliwakilishwa na nani Zimbabwe kumpongeza Mugabe kwa kuchaguliwa tena? ni swali tu.
 
Huo ni uhuni na ushenzi.....katiba gani duniani isiyoweka ukomo wa utawala wa viongozi?iko wapi demokrasia sasa?Badilisheni chadema kiwe chama cha kifalme au cha kidikteta tujue moja basi,mpka mungu atakapomchukua kiongozi mmoja ndipo achaguliwe mwingine...NIMERUDISHA RASIMI KADI YA CHADEMA LEO
 
Ofcourse, ndiyo maana wameiasi CCM mchana kweupe. Kasema Njelu Kasaka vizuri kabisa, leo hii ukiwa wananchi wanashangilia wapinzani na kuzomea CCM.


Leo hii Watanzania wanafurahia kuona wasiokuwa na sauti, wanasemewa bungeni na nje ya bunge. Watanzania wa leo si wa miaka hiyo kama ulivyosema, ndiyo maana wanaweza kumuuliza Kinana kwenye mkutano wa hadhara, kuhusu tuhuma za yeye na viongozi wenzake waandamizi, wakiwemo waNEC, kushiriki ujangili na kumaliza rasilimali zetu (ref. Ruaha).

Watanzania wa leo wakienda baa, ile bia ya 'Ndovu', wameipatia jina zuri la kiongozi mmoja wa CCM anayetuhumiwa kumaliza tembo kwenye mbuga zetu.

Umesema kweli kabisa. Watanzania wa leo wameijua kweli. Wanatekeleza wosia wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.

Turudi kwenye hoja. Katiba ya CHADEMA ndiyo hiyo ya mwaka 2006. Karibu.
wamezoea kubishana na si kujibu hoja Kama hoja zote zingekuwa zinajibiwa kisomi kiasi hiki hakika tungekuwa mbali ona haja za tembo kimya, Bilion za uswisi hazijibiki wanakazana kubishana tu hakya Mungu ningekuwa Mchawi ningeiloga CCM
 
Back
Top Bottom