Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Wakuu naombeni msaada wenu maana inabidi nifanye haraka iwezekanavyo so nahitaji hasa mawazo na nini nifanye,mwaka 1997 nilinunua ekari kama 4 hivi mbezi ya morogoro road kipindi hicho kulikuwa kuna pori sana na nilinunua kwa shilling 9,000 tu.....so sasa hivi hiyo sehemu watu wamenizunguka na ni mjini na magari yanaingia mpaka hiyo sehemu...so msaada niliotaka nilikuwa nataka kuweka hati ya hizo eka 4 maana nilinunua ila nahitaji hati so kuweka hiyo hati inaweza kunicost bei gani??Kwa ekari hizo nne??Nadhani humu kuna wataalam naona watanisaidia...Naombeni msaada wenu please maana hiyo sehemu ni mimi tu ndio sijajenga ila walionizunguka wamejenga.
Natanguliza shukrani zangu!!!
Natanguliza shukrani zangu!!!