Gamlemilwe
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 290
- 200
Wewe mbishi watu kibao ambao waliwekwa reserve katika database wanapigiwa simu wakafuate barua zao na hawakutoka kwenye orodha yoyote. Jamaa naona kajaribu kukuelekeza humuelewi.Mzee asubuhi njema, Mimi ubishi siwezi mkuu