RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Poleni watanzania wenzangu, pamoja na walipotelewa na ndugu! RIP kwa wote waliopoteza maisha!!
West Coast Ferries Forum - Skagit & Kalama
Inakuwaje mtu mzima na familia yake anafanya maamuzi ya kipuuzi kiasi hicho tena siyo zama za mawe au zile za kijima? How can somebody call himself/herself a Tanzania while his doings is not for Tanzanians? Why? why? Lets work up and save our country, tuungane kwa pamoja tuseme NO for personal interests and YES for interests of our country.
Hilo Ferry lilizozama lilishapigwa marufuku tangu mwaka 2006, inakuwaje basi sisi wabongo pamoja na kujenga vyuo vikuu kila kukicha, tunakatwa mishahara kwa ajili ya kusaidia huduma za jamii lakini ndo zinageuka kuwa kaburi la wenzetu? NO NO NO, lets play our part, I am sure somebody has to be respond with this, siyo kila kitu Mungu kapanga.
West Coast Ferries Forum - Skagit & Kalama
Nawasilisha wanaJF.
West Coast Ferries Forum - Skagit & Kalama
Inakuwaje mtu mzima na familia yake anafanya maamuzi ya kipuuzi kiasi hicho tena siyo zama za mawe au zile za kijima? How can somebody call himself/herself a Tanzania while his doings is not for Tanzanians? Why? why? Lets work up and save our country, tuungane kwa pamoja tuseme NO for personal interests and YES for interests of our country.
Hilo Ferry lilizozama lilishapigwa marufuku tangu mwaka 2006, inakuwaje basi sisi wabongo pamoja na kujenga vyuo vikuu kila kukicha, tunakatwa mishahara kwa ajili ya kusaidia huduma za jamii lakini ndo zinageuka kuwa kaburi la wenzetu? NO NO NO, lets play our part, I am sure somebody has to be respond with this, siyo kila kitu Mungu kapanga.
West Coast Ferries Forum - Skagit & Kalama
Nawasilisha wanaJF.