Kuhujumiwa kwa ITV katika king'amuzi cha STAR TIMES Dar

nyabhingi acha uduanzi wewe.. joyce mhavile hana sababu za kulalamika kwani wanavyo ving'amuzi vyao vya digitek. wanachopaswa kufanya ni kuwashauri watumiaji watumie ving'amuzi vyao tu na sio kupiga mayowe

mbona kama unatetea uhhalifu!kwa hiyo kwa vile wana king'amuzi chao ndo wahujumiwe!??hivi hujui kuwa star times kuna kodi zetu?
 
ITV yenyewe inamilikiwa na dalali Reginald Mengi. Yawezekana kwamba anadaiwa
 
hayaland wacha speculations, hamia azam au continental na usizushe kuwa wanahujumiwa. hawawezi kuhujumiwa kwani hawana chochote cha kuwahujumu.
Mimi tangu nitupe hicho ki startimes naiona itv vyema sana kupitia azam na dstv,jirani yangu nilimshtua kuhusu hujuma hiyo inayofanywa na startimes dhidi ya itv na yeye akakitupilia mbali hicho ki taka taka,amehamia azam pia,na ana enjoy habari za uhakika na zisizo na ushabiki kutoka ITV,hawa wachina wanawadanganya viongozi wetu kuvigandamiza vyombo huru vya habari,ila wanasahau kuwa watu wanajua suluhisho la huduma mbovu ni kuhamia kwingine,mwisho wa siku strtimes na li Tbc lao watakosa watazamaji hata 10,000 nchi nzima,ccm wameamua kuhujumu kila wanachokihofia kufichua maovu yao,ukiona hivyo jua jambo moja tu------i
 
Huu n uchonganishi na umbea mambo ya kieletronics unasema kuhujumiwa , kwani wao Itv wametoa taarfa ya kuhujumiwa au ndio unataka kuichonganisha serikali na vyombo vya habari

mkuu unabisha 7bu huna info au umeamua kubisha tu ili ubishe!??
ITV wameonesha hadi barua waliyowaandikia TCRA ila hawajajibiwa na tatizao linaendelea!
Halafu ni kwa nini iwe tu tatizo linatokea muda wa taarifa ya habari???
Wakati huohuo wameonesha muonekano kwenye ving'amuzi vya Azam, DSTV, n.k vinaanekana poa muda uleule!
 
Kwani dalali anafanya biashara hii ya habari bila kuwa na king'amuzi cha IPPMEDIA? Jamaa anapenda kweli vitu rahisi
 
hizi ni hujuma zinazofanywa na serikali ya ccm ili watu wasiangalie ITV mbona chanell nyingine kama tbc ccm zinaonyesha vizuri kwa nini ITV na EATV zinafanyiwa hujuma .hizi zinaweza kuwa ni mbinu chafu za team ya Muhongo.
 
Kule Machame walishakata tangia nikiwa likizo December.. Sikufaidi kabisa taharifa za habari mpaka nimerudi mjini. Mnachokifanya ni kuwafukuza wateja, maana watakikimbia king'amuzi chenu uchwara
 
ITV yenyewe inamilikiwa na dalali Reginald Mengi. Yawezekana kwamba anadaiwa
Umemsikia mtu/taasisi yoyote inayolalamika kuwa inaidai ITV?je startimes hata kama wanaidai itv,je kuihujumu ndiyo kujilipa deni?siyo tu kwamba watakuwa wanafukuza wateja wao?na hujui kuwa ITV ndiyo kituo kinachotazamwa na watanzania wengi kuliko kituo kingine chochote? Sijawahi kusikia mtu asiye na akili kama huyu lizaboni.
 
mimi nashangaa,siku kama ya tatu hivi nime-notice hicho kitu kila inapofika saa mbili usiku!utawala unaokaribia kufa huwaga unatapatapa namna hii lakini kifo xhake hakiepukiki.Haya ni maagizo kutoka juu kufanya hujuma...maccm ni makatili mpaka basi.



kwanini ITV ihujumiwe kupitia king'amuzi cha Star Times tu?? Kwanini hujuma hizi zisingefanywa kwenye ving'amuzi vyote ambavyo ITV inaoneshwa?
 
Huu n uchonganishi na umbea mambo ya kieletronics unasema kuhujumiwa , kwani wao Itv wametoa taarfa ya kuhujumiwa au ndio unataka kuichonganisha serikali na vyombo vya habari
mtu mwenyewe huna hata TV vitu vingine bora ungeuliza usaidie kuliko kukurupuka na kuandika uchafu hapa wewe ulifikiri hayo malalamiko yametolewa na TBC CCM.
 
mbona kama unatetea uhhalifu!kwa hiyo kwa vile wana king'amuzi chao ndo wahujumiwe!??hivi hujui kuwa star times kuna kodi zetu?

Hakuna cha kodi wala tax..ni kukitupa king'amuzi cha startimes..na kununua ving'amuzi visivyo na harufu ya wizi...chama cha mapinduzi ni chama cha hovyo sana.
 
Huu n uchonganishi na umbea mambo ya kieletronics unasema kuhujumiwa , kwani wao Itv wametoa taarfa ya kuhujumiwa au ndio unataka kuichonganisha serikali na vyombo vya habari

Sidhani kama ni uchonganishi. Habari hii ilikuwa very balanced na researched. Kwanza wamehojiwa walaji yaani watumiaji wa star times ambao ndio wameanza kulalamika.

Pili wamewatafuta watu wa startimes wakapiga chenga aliyepatikana hakutaka kurekodiwa.

Tatu, wamewahoji jamaa wa mawasiliano wakasema hawajui.

Nne wakamuhoji mkurugenzi wa ITV nae akasema upande wake.

Tano wameweka kipande cha habari (alikuwa anaonekana Chikawe),kama ilivyoonekana kupitia ving'amuzi tofauti. Kwanza Azam, Dstv,na startimes. Kwenye startimes habari ilionekana inascratch lakini kwenye ving'amuzi vingine ilikuwa clear.

Sioni uchochezi ila ni facts.
 
Hameni uko kisimbuzi chao wamuuzie fisadi chenge na jk na MAFISADI wote.kama wamefikia kutumia hadi mbinu zakitoto namna hii jua ccm imekufa inasubiri kuzikwa tuu naomba iendelee kujichimbia kaburi hivyo hvyo.
 
nyabhingi acha uduanzi wewe.. joyce mhavile hana sababu za kulalamika kwani wanavyo ving'amuzi vyao vya digitek. wanachopaswa kufanya ni kuwashauri watumiaji watumie ving'amuzi vyao tu na sio kupiga mayowe
Kama huna mwanga wa marketing ni sawa na usiku wa giza, alichokifanya Mhavile ni marketing tosha binafsi najishauri kama nitakilipia tena mwezi ujao.
 
Back
Top Bottom