Kuhujumiwa kwa ITV katika king'amuzi cha STAR TIMES Dar

hayaland

JF-Expert Member
May 4, 2012
712
399
kitokana na kutoonekana vizuri kwa ITV katika kingamuzi cha STAR TIMES wakati wa taarifa ya habari katika maeneo mbalimbali nchini hususani mkoa wa DSM inasekana kuna taarifa za kukihujumu kituo hicho kikongwe nchini.Baadhi ya vingamuzi kama vile CONTINENTAL,DSTV,AZAM TV,EASY TV,wakati wa taarifa ya habari ITV inaonekana vizuri sana lakini kwa star times inakatika katika hovyo hadi watazamaji wa ITV wanashindwa kutazama taarifa za habari vizuri.mwandishi alipokwenda katika ofisi za sta times walimpoga chenga kwamba hawako tayari kuzungumzia hilo jambo,kama vile haitoshi mwandishi akamlazim kwenda katika mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA prof. Mkoma alijibu ana wageni anawasubili.Hivyo katika kingamzi cha star times ITV inahujumiwa.
 
mimi nashangaa,siku kama ya tatu hivi nime-notice hicho kitu kila inapofika saa mbili usiku!utawala unaokaribia kufa huwaga unatapatapa namna hii lakini kifo xhake hakiepukiki.Haya ni maagizo kutoka juu kufanya hujuma...maccm ni makatili mpaka basi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huu n uchonganishi na umbea mambo ya kieletronics unasema kuhujumiwa , kwani wao Itv wametoa taarfa ya kuhujumiwa au ndio unataka kuichonganisha serikali na vyombo vya habari
 
kitokana na kutoonekana vizuri kwa ITV katika kingamuzi cha STAR TIMES wakati wa taarifa ya habari katika maeneo mbalimbali nchini hususani mkoa wa DSM inasekana kuna taarifa za kukihujumu kituo hicho hkikongwe nchini.Baadhi ya vingamuzi kama vile CONTINENTAL,DSTV,AZAM TV,EASY TV,wakati wa taarifa ya habari ITV inaonekana vizuri sana lakini kwa star times inakatika katika hovyo hadi .ywatazamaji wa ITV wanashindwa kutazama taarifa za habari vizuri.mwandishi alipokwenda katika ofisi za sta times walimpoga chenga kwamba hawako tayari kuzungumzia hilo jambo,kama vile haitoshi mwandishi akamlazim kwenda katika mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA prof. Mkoma alijibu ana wageni anawasubili.Hivyo katika kingamzi cha star times ITV inahujumiwa.
star tupu jamani,hata startv arusha haipatikani kabisa,ukiwauliza wanadai matatizo ya kiufundi ,kwanza katika king'amuzi ambacho hakina mvuti hapa nchini ndo kinaongoza,ngoja tuame kama tulivyoama vyama vya siasa
 
Asubuhi EATV na ITV huwa zinaonyesha vizuri,lakini Kwa EATV kinapofika kipindi cha HOTMIX basi skrachi kwenda mbele,pengine hata uoni wala kusikia kitu.Hivyohivyo,Kwa ITV wakati wa habari na Kipima joto.Juzi kwenye kipindi cha mkasi cha EATV wakati mheshimiwa tundu lissu akihojiwa sikusikia kitu kabisa kutokana na skrachi hizo.ITV watangaze kwamba wanahujumiwa kwani hatuwezi kuwa mambwinga katika mambo ya msingi.Kupata habari ni haki ya kikatiba.IPP inahujumiwa na TBC kwa sababu za kisiasa.
 
Huu n uchonganishi na umbea mambo ya kieletronics unasema kuhujumiwa , kwani wao Itv wametoa taarfa ya kuhujumiwa au ndio unataka kuichonganisha serikali na vyombo vya habari

ungemsikia mhavile alivyokuwa analalamika ni kama anasema wanahujumiwa between the lines,kwanini ving'amuzi vingine itv inaonekana clear...ukiunganisha dots utaona ni visasi vya majizi baada ya mengi kuyaumbua mafisadi.
 
Huku Arusha ndo usiseme kabisa ukitazama mziki kupitia ITV na EATV utacheka utadhani kanda ya radio inatafunwa
 
hayaland wacha speculations, hamia azam au continental na usizushe kuwa wanahujumiwa. hawawezi kuhujumiwa kwani hawana chochote cha kuwahujumu.
kitokana na kutoonekana vizuri kwa ITV katika kingamuzi cha STAR TIMES wakati wa taarifa ya habari katika maeneo mbalimbali nchini hususani mkoa wa DSM inasekana kuna taarifa za kukihujumu kituo hicho kikongwe nchini.Baadhi ya vingamuzi kama vile CONTINENTAL,DSTV,AZAM TV,EASY TV,wakati wa taarifa ya habari ITV inaonekana vizuri sana lakini kwa star times inakatika katika hovyo hadi watazamaji wa ITV wanashindwa kutazama taarifa za habari vizuri.mwandishi alipokwenda katika ofisi za sta times walimpoga chenga kwamba hawako tayari kuzungumzia hilo jambo,kama vile haitoshi mwandishi akamlazim kwenda katika mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA prof. Mkoma alijibu ana wageni anawasubili.Hivyo katika kingamzi cha star times ITV inahujumiwa.
 
nyabhingi acha uduanzi wewe.. joyce mhavile hana sababu za kulalamika kwani wanavyo ving'amuzi vyao vya digitek. wanachopaswa kufanya ni kuwashauri watumiaji watumie ving'amuzi vyao tu na sio kupiga mayowe
ungemsikia mhavile alivyokuwa analalamika ni kama anasema wanahujumiwa between the lines,kwanini ving'amuzi vingine itv inaonekana clear...ukiunganisha dots utaona ni visasi vya majizi baada ya mengi kuyaumbua mafisadi.
 
:shock::shock::shock: BAK tanzania kuna ving'amuzi vingi tu kama vile digitek cha itv; continetal cha star tv; startimes; zuku; ting ; easytv; azamtv na vyote vinaonyesha itv. washauri wahamie ving'amuzi hivyo wasilalame
Only in Tanzania!
 
ITV na EATV kama mnaweza hama kabisa kwenye hicho kingamzi tutawapata katika vingamzi vingine.wahujumu ni wengi ila kwenu ni changamoto na mzifanyie kazi ili kipambana na
wahujumu hao.
 
Mtoa mada umesema ukweli. mie jana nimepanda juu ya Antena kurekebisha matokeo zingine zipo vizuri Itv imegoma.ila sisawa huo niwivu wakike
 
Kwa tukio hili kama ni serikali ama CCM wanavitumia vituo hivyo kuhujumu wajue wanapoteza soko la vituo husika.

Wenye ving'amuzi hasa watu wa marketing wanajua kwa dunia ya leo ukiwapoteza wateja (customers) kuwarejesha ni kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom