Shemu nakusalim, nimefurahi kukuona.Serikali ikihamia Dom utafaidikaje wewe binafsi ? acha tubanane hapahapa hata Hayati alitishhia lakini mwisho wa siku ???
Sweety hata mimi nimefurahi kukuona lakini rudi kwenye mada kwanza.Shemu nakusalim, nimefurahi kukuona.
Serikali ikihamia Dom utafaidikaje wewe binafsi ? acha tubanane hapahapa hata Hayati alitishhia lakini mwisho wa siku ???
Sweety hata mimi nimefurahi kukuona lakini rudi kwenye mada kwanza.
Hapo kwenye red, mimi sihitaji kufaidika binafsi bali kuona kila mtu anatimiza wajibu wake, wao (Serikali) wapo kwenye vyombo vya habari wakisema tumewaambia wananchi waondoke mabondeni lakini hawakusikia yaani wamegoma! Sasa kwanini walaumiwe wananchi pekee kuwa hawtii maagizo wakati hata wao wamegoma?