kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Inaniwia vigumu sana kuelewa dhana nzima ya hawa wahusika wanaoendelea na mchakato wa kuufunga uwanja wa uhuru eti usitumike tena kwani utafanyiwa marekebisho, hivi walikuwa wapi kipindi ligi imeisha? Kama wanania ya dhati ya kufanya marekebisho ya viwanja takwimu zao kweli zinaonyesha ni uwanja wa uhuru tu wenye hali mbaya? Acheni usumbufu