johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
- Thread starter
- #121
Hospital ya Sinza Palestine 😂😂Afu ww upunguzage kiherehere,ww walishawah kukusaidia nn?.Una uchungu nao nenda kwao kawasaidie lioooneee Kwanza.
Jifunze
Hospital ya Sinza Palestine 😂😂Afu ww upunguzage kiherehere,ww walishawah kukusaidia nn?.Una uchungu nao nenda kwao kawasaidie lioooneee Kwanza.
Afu ww upunguzage kiherehere,ww walishawah kukusaidia nn?.Una uchungu nao nenda kwao kawasaidie lioooneee Kwanza.
Kwan umeambiwa natetea wayahudi?siko upande wowote kwamaana Sina undugu nao hata wa rangiوَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّ Mungu.وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Umekasirika sana 😂😂🐼🔥Yaan liko Kama lijing,mda wote linaandika upuuz tu kutaka sifa
Una Chuki Binafsi na Palestine!Kwan umeambiwa natetea wayahudi?siko upande wowote kwamaana Sina undugu nao hata wa rangi
Hamas iliundwa na wayahudi. Ili kuiuwa PLO ya Arafat.Very informative.
Lakini hii ni baada ya Ottoman Empire kuangushwa na Brits na WW11 ndio akapewa Israel hiyo kipande ya Ardhi?
One of the most controversial topic....
Israel kwa sasa anafanya uhalifu wa kivita. na Palestine haina uongozi wa kueleweka... Hamasi inangangana toka 2006.
karibishaneni mnaoamini kuwa mungu wenu ni myahudi.Huna akili yaani tukaribishe watu wanaoamini dini yao tu ndo ya mwanyazi mungu. Jitafakali bro ni hizi nyuzi zako
Kwa sababu ya Wapalestina na mimi ni Yohana?!😂😂😂Ndiooo,kwasababu ni mtu niliekuwa napenda kusoma nyuz zako naona unabusara,ila sikuiz hata sikuelew umekuwaje?
Safi lakini Hamas ipo Funded na Iran na some big Arab countries ukiacha Egypt kutokana na uhusiano wao na Muslim brotherhood.Hamas iliundwa na wayahudi. Ili kuiuwa PLO ya Arafat.
Sasa hawa vijana wa Hams wamechoka kuuliwa kila siku, wakubwa zao wanawaa,nia tulieni, tulieni, kumbe wale ni double agents. walivyoletewa hii mission ya juzi, ilikuwa waende wawili watatu, wakaambiza wakaelewa kuwa wanawekewa mtego wamalizwe, waksema kama ufa tufe wote, ujinga huu. Si unajuwa vijana mwendokasi hawapo Tanzania tu.
Ndicho kimbembe chote unachokiona.
Unajuwa ukishakuwa Hamas, maana yake umeshajitolea kufa, wale washajitowa mhanga siku nyingi sana "shaheed".
Nimekuelewa Mkuu, na huwa naona humu Faiza anamuattack sana NyerereSio silaha tu alileta mpaka vimamluki vituue maana Nyerere ni kafri na Nduli Amin ni ndugu katika Imani
Inasadikika Arafat naye alipenyeza zake kupitia LibyaSilaha alileta Gadafi kwa Uganda na zilitekwa zote na akina Mti Mkavu na Baada ya Vita Nyerere aliwarudishia silaha Zao 😄😄
Toa upuuzi hapaRudi maktaba ukatulize akili usome kwa bidii na makini uujue ukweli. Kweli inasikitisha kijana wa aina yako kuongea madudu ya ya namna hii. Na wewe ukikaa utakuta unajinadi kwamba ni msomi. LOOOHH!
MUNGU SAIDIA HIKI KIZAZI CHA WATANZANIA 😔🙏🏾
Aunty tayana akili huna, na hujui uliongealo. Shule yako na usomi uchwara wako haujakusaidia chochote.Toa upuuzi hapa
Usomi unaingiliana vipi na mada hapa?
Yaani niwe au nisiwe msomi we inakuhusu nn dada?
Halafu nikiwa msomi u think Kwa comment yako ndo inaondoa usomi wangu?😅
Naona tunapangiana Cha kupost
Kila mmoja ana uhuru wa kutoa maoni yake hapa ht km yanakukera tusipangiane Cha kupost!
Narudia Tena,ardhi sio ya Palestine ht wao wanajua ndo maana Wana fujo haiingliiania na usomi !
Bear that in ur mind!